Wauza smartphone tukutane hapa

Nauza Xperia z black 200k ukiitaka tuwasiliane 0625667727
 
Mkuu mm nahitaji
 
Basi mkiweka matangazo mnaouza simu muweke na namba zenu za simu
Wengine mnaweka tangazo alafu mnapotea alafu kama mnavyojua huku hakuna inbox
Naomba muambatanishe matangazo na namba zenu tafadhali
 
nina tecno j5 2 nauza laki 20 kwa kila moja,hazina tatzo lolote lile kwa maelezo njoo Pm
 
Blackberry tab
1gb ram
64gb
Wifi
25ok price
Location dar
Contact 0719094595
 
Used Samsung s3 hii nauza laki 2 back hamsini (250,000)...Call: 0655659115
 
Min Ipad air.
WiFi & 4G cellular network.
16GB storage.
comes with all accessories.
price: 450k
contact: 0654776976
 
Microsoft lumia 535 dual SiM
bei laki na hamsini 150000/=

Dar es salaam
 
Tecno C5 kwa 120,000 aliye nayo anicheck 0654384885

moto2012
 

Ingia App store tafuta app unayotaka kudownload itakuletea option ya kujisajili. Fata steps za kujisajili ikifika sehemu ya kudai kadi ya benki weka NON halafu malizia registration yako.
 
Lenovo vibe inauzwa 400,000/= kwa sasa nipo morotown.

Kama utakuwa unahitaji utaletewa popote ulipo ila tu kwa maeneo ya hapa mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…