Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Nauza Lumia 635 ikiwa kwenye ubora wa hali a juu...

nimeitumia kwa miezi sita tu...

Price:350,000/=TZS Non negotiatable...

Reason; Nahitaji kununua simu nyingine.

Mawasiliano: 0757665701/0787665701/0715665701

karibuni

Email mnanka88@gmail.com
 
za kichina hizo hapo hamna cm
Kwan wew unayetumia ni ya kutoka hukohuko china,sema kwa kuwa wewe bumbuazi+team mshenzi ndio hivyo#80%Africa hutumia simu kutoka china,mshamba wa kanda ya,,,,,
 
Nipe laki na ishirini nikuachie hii nokia x,nipo moshi 0754 46 35 88
 
Nahitaji kubadilisha kioo "touch screen" ya Samsung Galaxy Note II (haifanyi kabisa). Nimeenda maduka ya Samsung bei yao ni Tzs. 350,000/= Kariakoo Tzs. 200,000/=. Anayeweza kwa bei ya chini ya hapo na ana uhakika na afanyacho anijulishe hapa au inbox.

Natanguliza shukrani.

Kaka
 
Tecno L6, ina mwezi tangu inunuliwe bei ni 220000, napatikana Mwanza nyamagana, nipm
 
Kwa anaeuza mojawapo kati ya simu hizi au mwenye deal na hizi simu anitafute through private message (pm)

''HTC DROID DNA'' na ''HTC BUTTERFLY'' used

bajeti inaanzia 320k na 330k.... Thanks
 
Nahitaji kubadilisha kioo "touch screen" ya Samsung Galaxy Note II (haifanyi kabisa). Nimeenda maduka ya Samsung bei yao ni Tzs. 350,000/= Kariakoo Tzs. 200,000/=. Anayeweza kwa bei ya chini ya hapo na ana uhakika na afanyacho anijulishe hapa au inbox.

Natanguliza shukrani.

Kaka

Kama unaweza utume dubai hizo ndo bei za bongo
 
Nahitaji kubadilisha kioo "touch screen" ya Samsung Galaxy Note II (haifanyi kabisa). Nimeenda maduka ya Samsung bei yao ni Tzs. 350,000/= Kariakoo Tzs. 200,000/=. Anayeweza kwa bei ya chini ya hapo na ana uhakika na afanyacho anijulishe hapa au inbox.

Natanguliza shukrani.

Kaka

Samsung jinga sana,,:ballchain:, kioo 350k si mara kumi ukanunue smartphone nyingine???? huh!!! :fencing:Cha kufia nini??? :boxing:
 
Natafuta Simu ya sonierricsson c905 cyber shot, 8.1 camera, wana jamvi mwenye nayo plz bei ya used(depressiasion cost) ni PM
 
Mm nna hii HTC njoo na 290,000 tufanye biashara, sm ni used imetoka denmark
 
Chap chap SAMSUNG Dous Grand lite GT.Tsh 250k inetumika almost nusu mwaka Kwa walio serious ni PM.
Tunaweza elewana zaid...!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom