Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Nna htc max one ......nauza 260,000/
Njoo tufanye biashara 0715591141
 
Hallow wana JF,

Mimi mkononi nina Samsung grand duos, yenyewe inataka 270,000. Ipo katika hali nzuri kabisa.

Nichek kupitia 0714547830.

Wewe unauza simu gani?

ninauza huawei y530 kwa 130000 iko kwenye hali nzur..ni ya tigo..mwenye huitaji anicheki 0659116111
 
Nahitaji huawei y530 , mwenye nayo tafadhali anitafute
 
nipo na HTC desire eye ipo na condition nzuri no scratch [IMO]HTC desire eye[/IMG]
bei 650 kama unataka serious nipigie 0759733603
 
Mkononi bado ninayo HTC incredible s710e ..yenyewe inataka 140,000..
Nakupa pamoja na memory card 8 GB ..
Ukiwa interested na deal nicheki kwenye 0716 403 314.
Karibuni sana
 
Nina huawei y530 nyeupe bado mpya kwa anayehitaji serious anichek 0712484858.
 
Back
Top Bottom