Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za biashara mkuuu,nipo kariakoo
Namba zangu hizo0715378899Wewe jamaa unasemaga tu upo Kariakoo, ila hutaki kueleza zaidi Kariakoo mtaa gani.
Sema mtaa uliopo mi nataka iPhone 4 au 4s iwe mpya au used, wengine mara kwa mara tunakuja jijini hivyo ukitoa ramani ya kueleweka tunaweza kufanya biashara.!
AggreyNamba zangu hizo0715378899
Una htc gani?Nina HTC bei tunaongea
Oya nahitaji note 3 ama I phone 5s gold my offer 450k
Note 3 Ninayo; ila nauza 550k; nimeitumia Mimi mwenyewe ...ina kila kitu chake
Umeitumia muda gani haina scratches huku pemben ???
Miezi 6; iko vizuri; kama uko Dar city centre naweza kukuonesha
Emb nipe bei ya mwisho mkuu alf nimekuuliza kama ina scratches ama
Scratches ni kidogo; waweza iona ukaamua ndugu; kwa sababu sikuweka flip cover; na hii sijanunua kwa mtu so ni halal ...
Emb nipe bei ya mwisho mkuu alf nimekuuliza kama ina scratches ama
Scratches ni kidogo; waweza iona ukaamua ndugu; kwa sababu sikuweka flip cover; na hii sijanunua kwa mtu so ni halal ...
Nakutumia no yang pm unitumie pics whatsapp mkuu