Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Nahitaji Samsung galaxy note 4..
LAKINI wakati huo huo nauza HTC incredible s 710e kwa 130,000/(fixed-)
Mawasiliano 0716403314..
 
moto g toleo la kwanza8gb 5.0 lollipop 4.5 only 185k kama unaiitaji 0719908742
 
Nauza Sony Xperia Z1 Compact mpya.
Picha na bei tafadhani ingia chemba (PM) tuzoze.

Asanteni
 
Nauza apple ipad 2 (WI-FI + 3G), internal memory ni 64 gb(usable 59 gb). Price ni 400,000/= tu. Nipo dar, namba 0713 925908
 
Wakuu nina galaxy s5 nauza 550,000 tu nina dharura ya haraka.kwa aliye serious anichek 0712484858.bei inapungua kidogo.
 
Galaxy s5 sokoni.kwa anayehitaji serious anichek 0712484858.nauza 550,000 ila bei inapungua kidogo.
 
Back
Top Bottom