Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Pengine humu ndani mnaweza kunisaidia tatizo la tablet Yang.

HV majuzi nilinunua I surf tab baada ya kuitumia kama wiki mbili hivi + na # zimeacha kufanya kazi.
Mpaka sasa sijajua tatizo ni mini,ila siku hyo nilikuwa nadownload video na nikawa nimeiweka kwenye charge.pia niliruhusu kudownload appl ambazo zipo nje ya Google play ambazo wanasema zinaweza dhuru simu.

Nimejaribu kuifanyia factory resset zinakubali kufanya kazi lakin baada ya muda zinagoma.msaada pliz
 
1.nauza note 2 almost mpya imetumika 2 wk inaihitaji 400000/=
2.nina samsung galaxy s2 mpya imebaki moja price 250000/=
3.nina huawei y 300 kwa 100000 used..
mwenye huitaiji anicheki kwa namba 0659116111
 
Jamani nauza samsung s4 origina used ina 2gb ram na internal memory 32gb kwa 320000.pia nauza samsung dual i8262 kwa 170000 tu zaidi njoo pm.mizigo bado ipoo.oooooooh pia kuna samsung s6 edge original kwa milioni moja na laki sita.
 
Hallow wana JF,

Mimi mkononi nina Samsung grand duos, yenyewe inataka 270,000. Ipo katika hali nzuri kabisa.

Nichek kupitia 0714547830.


Wewe unauza simu gani?

Blackberry passport na sony xperia z1

1437581468421.jpg
 
Natafuta power bank nzuri ya kununua kama unayo sema bei tuelewane tufanye biashara
 
habar wana jamii.mi nina samsung galaxy s ina 16 gb intrrnal memory natak nibadilishan na mtu yoyote mweny samsung note 3 copy au s5 copy
 
Back
Top Bottom