Sikushauri sana hiz spark,nikushauri ukitaka simu nzur ya tecno anzia W5 kavu,nzuri sana au L9+ japo siku hzi zineadimika lakin ni nzur sana au Common CX kavu sio CX Air utaenjoy,au J8 bado ipo vzr sana,spark nying ni 200-197 unapata nzur Ila naziona zile kama sio za kijanja sana...Boss hebu nijuze kuhusu hizi tecno sparks na bei zake kama unazo. Mie nataka nihamie tecno but sijawa na information za kunitosha
Kwan cammon cx. Inauzwa bei ganSikushauri sana hiz spark,nikushauri ukitaka simu nzur ya tecno anzia W5 kavu,nzuri sana au L9+ japo siku hzi zineadimika lakin ni nzur sana au Common CX kavu sio CX Air utaenjoy,au J8 bado ipo vzr sana,spark nying ni 200-197 unapata nzur Ila naziona zile kama sio za kijanja sana...
350 binafs nakupatia,sijui kwa wenzanguKwan cammon cx. Inauzwa bei gan
W5 kwa maduka ya kawaida haizid 25k ila sio mazur kama ya kwao wakikuwekea wenyewe.. Ngoja nitaeapa namba ya fundi wa pale kwao ukitaka kupitia mlango wa nyuma anakupoozea kias fulan kama navyofanyaga,mi kazi yang mkuu ni kuuza simu uliza swali lolote linalohusu bei za simu za tecno nitakusaidia kama litakua ndan ya uwezo wngu
Hiyo ina bei nafuu kwa nn. Ni toleo la zaman au uboraNa ile CX air unaipata kwa 290-295k
Njoo nikupe tecno boom j8 200kBoss hebu nijuze kuhusu hizi tecno sparks na bei zake kama unazo. Mie nataka nihamie tecno but sijawa na information za kunitosha
Uko wapSamsung note 4 inauzwa 4g bado mpya 350k
Hapana ni camera,,CX Air back &front camera ni 13mp na CX back &front no 16mp so unaweza kuona utofauti uliopoHiyo ina bei nafuu kwa nn. Ni toleo la zaman au ubora
Sory picha imekuja ambayo sikukusudia so sory guyzHapana ni camera,,CX Air back &front camera ni 13mp na CX back &front no 16mp so unaweza kuona utofauti uliopo
Crecks za glasss6 ndio unauza laki 300? ?tatzo kubwa ni nini?
Nipo musoma ntaipataje na vpi khsu pungufu. Cammon CxSory picha imekuja ambayo sikukusudia so sory guyz