Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Nina samsung s3 ila ina clake kwenye touch lakini inapiga kazi,nataka 170,000
 
Nipo dar km waitaka tukutane humu0715378899
samsung s3
 
Nina htc tatizo ni betri tu limekufa kwa 130,000,nipo dar city 0715378899 whatsapp
 
wakuu sony xperia z1 kwa sasa inauzwa sh ngapi madukani...original one
 
Ninaiuza samsung S2 yangu nimeinunua kama miezi mitatu iliopita mpya sasa ikaingia maji nikaipeleka kwa fundi akaniambia sacket imekufa lazima ninunue mpya i did that ila hii mpya nilioinunua ina ni ya korea i think mpaka ifanyiwe setting kwnye software saababu siwezi kucheki salio nikibonyeza *102# inaji dial moja kwa moja na pia sms zinasema fail tatizo lake ndio hilo tu. Sababu nyingine ya kuiuza ni kwa ajili nimeagiza simu mpya kwa sister anakuja mwisho wa mwezi huu likizo.. alie inyrestd anicheki namba ni 0712220207. bei ni 150

we matatzo yote hayo bado unang'ang'ana 150,acha joking ww
 
natafuta housing ya tecno h6 mwenye nayo au anayejua inapopatikana wakuu msaada wenu text 0657 445777
 
Nina Sony experia z1s Nataka kubadilishana na Samsung Note 3

Simu ndo nayotumia ss
 
samsung galaxy dual i8262 .1gb ram,external memory8gb ipo katika hali nzurii pia ni original kwa 140000 tu pm me ili kuipata.
 
nahitaji samsung galaxy s2 nina 150,000 tu nipo dsm
 
Back
Top Bottom