Wauza smartphone tukutane hapa

Note 3 + smart watch(sm v700) nnataka iphone
 
Nina samsung s3 ila ina clake kwenye touch lakini inapiga kazi,nataka 170,000
 
Nipo dar km waitaka tukutane humu0715378899
samsung s3
 
Nina htc tatizo ni betri tu limekufa kwa 130,000,nipo dar city 0715378899 whatsapp
 
wakuu sony xperia z1 kwa sasa inauzwa sh ngapi madukani...original one
 

we matatzo yote hayo bado unang'ang'ana 150,acha joking ww
 
natafuta housing ya tecno h6 mwenye nayo au anayejua inapopatikana wakuu msaada wenu text 0657 445777
 
Nina Sony experia z1s Nataka kubadilishana na Samsung Note 3

Simu ndo nayotumia ss
 
samsung galaxy dual i8262 .1gb ram,external memory8gb ipo katika hali nzurii pia ni original kwa 140000 tu pm me ili kuipata.
 
nahitaji samsung galaxy s2 nina 150,000 tu nipo dsm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…