josephwaara
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 304
- 639
Sh ngapi
IpoImeondoka mkuu au ipo???
Ipo ktk condition gani? Kwa bei hiyo ni cheap sana.Kuna mtu nataka kumvua samsung A8 +
Anataka nimpe laki nane, vip hapa siibiwi kweli?
Mkuu weka picha.Nauza Tecno Tablet droipad 8II BEI 250K
Rangi yake, silver
Ram 1GB
Rom 16GB
camera safi,, unaweza piga picha na kusafisha,
Unaweza kutumia kwa kufanya typing kama PC,
Chaji inadumu vizuri.
Location nipo morogoro mjini, njoo wasapu 0718418387
Picha MkuuTECNO BOOM J8
GOOD CONDITION
CLEAN AS NEW
140,000/
0658606315
Kkoo sehemu gani? Weka na picha Mkuu.pata nokia n73 na 6500 slide kwa elf 50 kila moja, bei ni fixed, npo K koo , bei n fixed
Bado ipo
Hamsini.naongeza!Ngapi unaongeza?
W4 techo ipoHABARI WAKUU....Ninahitaji simu yoyote nzuri yenye scree/kioo kikubwa
Budget: 100k... NAWASILISHA
asaiv npo tabata mawenz, n73 ndo naitumia hapa siwez piga picha, ila angalia kuna uzi nilituma humu nikaweka na picha, ila kesho naenda mkoaniKkoo sehemu gani? Weka na picha Mkuu.
Unaanzia ngapi mkuu? Sasa maelewano si yana awali???Bado ipo
Ipo 64gb nipmVp umepata mkuu!