Wauza smartphone tukutane hapa

Nina Samsung J7 Neo (silver).
Iko poa sana haina crack wala mkwaruzo. Bado ina warranty, risiti ipo, Chaja OG na earphones OG vyote vimekuja na simu.

Nataka exchange na Xiaomi nzuri nzuri, nataka kubadili ladha tu.
Mwenye interest aje PM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmhh Mkuu upo vizuri. Hizi models ni kweli inabd kua makin. Kwa jinsi hiyo naona bora ukiwa na hela yako nzuri uagize moja kwa moja toka samsung wenyew.
 
Samsung galaxy j5 pro
2GB ram
16GB rom
13mp r.camera
13mp s. Camera
Os version 8.1.0
Location ni Tabata segerea
Bei ni 230k

Nicheck 0763976109 tufanye biashara


Sent using Jamii Forums mobile app
 
iphone 5s
16gb
haina tatizo ipo kwenye hali nzur haina michubuko wala crak
bei 190000
ipo dsm

0758 556283






Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…