Wauza smartphone tukutane hapa

Wakuu kwa hapa Tz ntapata wapi simu inayoitwa Google Pixel 3xl!! Nimechek wote wanaouza online via instagram, sijaona. Kama wafaham nijulishe ni wapi tafadhal
 
Nauza Iphone 5s 32Gb,finger print inafanya kazi,kiufupi kila kitu kipo fresh...Cover,Charger na Earphone zipo. Bei Tsh.300,000(serious buyer kuna maelewano)
Nichek tufanye biashara...0659495857
Nipo Kigoma mjini


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tufahamu hivi,... Kuna seller refurbished na manufacturer refurbished. Sasa nyingi zinazoletwa na wafanyabiashara wa TZ ni seller refurbished, simu inakuwa imepungua ubora wa hardware kwa zaidi ya asilimia thelathini.
Mfano: Hutolewa battery halisi na kuwekwa battery ambalo sio original kitu ambacho kinaweza kupelekea simu kutokutunza chaji kama ile brand new.

Hardware ubadilishwa baadhi ya vifaa na kupekekea kupungua ubora. Mf: simu inabalishwa housing na inawekwa housing isiyokuwa na watertight seals, na kupelekea kuondoa umadhubuti kwa simu yenye IP Certified Waterproof & Dustproof.

Cha niongeza,... Kweli, kwa nchi zilizoendelea refurbished phone zipo ila ni zile manufacturer refurbished ambazo ni kama mpya kwa asilimia 90

Ahsante.
 
eBay siku hizi wahuni wengi kama kariakoo tu. Amazon ipo vizuri zaidi na uhakika wa kupata bidhaa yako ikiwa salama ni zaidi ya asilimia 95.
Sawa...vp je ukiagiza moja kwa moja kupitia website ya kampuni ya simu husika, huko c uchakuz naona utakua umepungua sana? Kwan kunaweza kua na changamoto yyt hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…