Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Naweza kupata battery [emoji367] la W3 tecno
IMG_1808.JPG
IMG_1808.JPG
nipo dar fasta


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Apple watch series 5
Boxed
GPS & cellular
1,400,000 Tsh
0714 036595.
 

Attachments

  • IMG-20200305-WA0014.jpg
    IMG-20200305-WA0014.jpg
    67.7 KB · Views: 2
  • IMG-20200305-WA0013.jpg
    IMG-20200305-WA0013.jpg
    72.8 KB · Views: 2
Nauza Redmi Note 7 Brand New
64 GB
6 GB Ram
48 Megapixel Dual Camera
Double Line 4G
5000 mAh Battery

Extras : 10 watt charger and free clear case

Bei : IMESHAUZWA!
Contact : IMESHAUZWA!
Location :
IMESHAUZWA!

IMG_20200305_154118_2.jpg


IMG_20200305_153934_2.jpg
 
Fundi simu nna samsung a 20 imekufa kioo naweza kupata kwa sh ngapi? Na je nikiamua kuiuza cm hvo hvo mbovu itauzika kwa sh ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanza Samsung garama kubwa ipo kwenye kioo! Ndo Kinathamani sana, kioo cha A20 ni 160k lakn ukitaka kuza simu mbovu utaambiwa 50k


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
PHONE :iPHONE 6PLUS
CAPACITY: 16GB
BATTERY:100%
COLOUR: SPACE GRAY
CONDITION: CLEAN
PRICE: 380,000
LOCATION: SINZA MADUKANI & KARIAKOO @itechnology
Inquiries: 0714 036595
iphone 6s plus inaenda ngapi mkuu
 
Mzee Baba Naona ni kawaida yake....
Hata mm juzi nilimquote kistaarab tuu ila ghafla akapanic Akaanza kuniattack mm badala ya hoja.....
Hivyo hivyo akasema nimuuzie yangu..
wakati Sifanyi hio biashara kwa sasa ila nina uzoefu nayo...
Mara ooh ujuaji, Mara kichefu chefu.....

Bahati Mbaya mm Sijibu vby....
Yeah i remember ile issue ya note 5 kwa laki sita
 
Wana jukwaa kwema......

Kama week 3 nyuma humu nilikua naweza bei za bidhaa, kuna baadhi ya watu walikuja juu bei kubwa, dalali,umeajiriwa na mhindi etc.
Nikawapa jibu moja kwa kipindi hiki bidhaa zinapanda na kama kuna mfanyabiashara ana mzigo store hauzi tena jumla, bado wakabisha.

Basi njoeni mtaani tufanye biashara maana mtaa ndio una majibu mazuri sio JF ikawa kimya.
Jana Dubai wamefunga mipaka yao na hakuna ndege kuingia.....
Dubai ndio ilikua imebaki kwa wafanyabiashara kwenda chukua mzigo.

Tutarajie vitu kupanda bei sana leo simu utaulizia bei unaambiwa 600,000 baada ya siku kadhaa utakuta 1,200,000.

Karibuni mtaani kwenye maisha halisi.
 
Wana jukwaa kwema......

Kama week 3 nyuma humu nilikua naweza bei za bidhaa, kuna baadhi ya watu walikuja juu bei kubwa, dalali,umeajiriwa na mhindi etc.
Nikawapa jibu moja kwa kipindi hiki bidhaa zinapanda na kama kuna mfanyabiashara ana mzigo store hauzi tena jumla, bado wakabisha.

Basi njoeni mtaani tufanye biashara maana mtaa ndio una majibu mazuri sio JF ikawa kimya.
Jana Dubai wamefunga mipaka yao na hakuna ndege kuingia.....
Dubai ndio ilikua imebaki kwa wafanyabiashara kwenda chukua mzigo.

Tutarajie vitu kupanda bei sana leo simu utaulizia bei unaambiwa 600,000 baada ya siku kadhaa utakuta 1,200,000.

Karibuni mtaani kwenye maisha halisi.

Poor mind


Sent using IPhone X
 
Back
Top Bottom