Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Maisha kwangu ni kupanda na kushuka hasa kwa rijali yoyote wanaelewa, kuna kipindi nimemaliza chuo nilikua desperate kuwa na pesa.

Nilitaka fanya kila kitu kwa wakati mmoja Mshana Jr shahidi nishamfata mara nyingi kumuomba ushauri nashukuru ushauri yake ulizaa matunda.

Joseph James ndio jina langu
Umri mzee Mshana Jr shaidi.
Kwanini sijasimamia biashara za kwetu check me 0714 036595.

Namuomba Mungu nisije kuwa baba kama wewe a dick rider father.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vip jamaa yangu umetoka job?
 
Wakuu humu kwenye jukwaa kuna watu ni kama wanakuja haribu biashara ya watu wengine.....

Kuna mtu anaclaim ananijua nafanya kazi kwa mhindi mara napost bidhaa facebook, huo ni uongo.
Naamini wale watu ambao nimefanya nao biashara wana ushaidi.

Hii hapa ni screen shot ya mteja wa simu anasema ana mashaka na biashara yangu kutokana na maneno ya jamaa, kwenye hili kashinda.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeona sasaaaa...
Wapi nimesema nina mashaka na biashara yako?

Mm point yangu kubwa kwako ni lugha CHAFU HUMU...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe bana huwezi biashara acha brah brah hapa....

Hoja huwezi, Biashara huwezi unachojua ni maneno ya shombo.....
 
Kwa mteja yoyote mwenye mashaka na mimi hizi ni info zangu
Joseph James
0714 036595
Sinza Madukani, Msikitini street.
MBONA UNABADILISHA MADA MZEE AU UNATAKA TUU UTUME PICHA....
Halaf hii picha Nimeiona inst nikakupa Like jamaa yngu....hata hujacomment[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

POINT KUBWA TANGU MWANZO NI.....
LUGHA CHAFUUUUUUUU......

Humu mm hata uquote watu wote siachi
Mpk uache shombo zako.....

Hatuwezi kua na watu wana vinywa vimejaa maneno machafuu
 
Kwa mteja yoyote mwenye mashaka na mimi hizi ni info zangu
Joseph James
0714 036595
Sinza Madukani, Msikitini street.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu umetumia app gani ya Photo shop?
Nashida nayo...
Ngoja nikuchek PM
 
Nita tambaa na wewe mpk utakapo acha shombo za lugha chafu kwa wenzako....

Mm nitanunua kesi zao popote......

Mimi situkani....
Ila nina keraaa na sichoki ila ni ukihitaj hio huduma....

Na sababu sikasiriki.......
Basi mambo yanakua muruwaaa.....
Naandika/nasoma huku nacheka..
Sasa wewe gombana na Vyombo hapo ulipo...
Nakat maisha ukiish na watu vzr ni kutambaa tuu....


.... Na km unajiheshimu nitakuheshimu sanaaa,
SINA record ya Kukwaruzana na mtu JF hata mmoja..

Mkuu tuma kapicha basi kengine ukiwa maeneo ya shop kwetu hapo basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]......

Ngoja Nilale.....
Jitahidi unijibu asubuhi mkuu ili kauzi kachangamke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Kwa kweli ukikaa kimya roho inaniuma sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....
 
Let sum up in this way Brother...

It's free Market as you 've said, then Yes,
No one disgree this...

But then, it's free market in free world....

'You say/sell this....... I question Your says/sells if i've to do soo...
Thats clear meaning of freedom...

Just be polite.....
Those who attack you/your bussiness, attack them Politely, If You can't and they keep pressurising you... Just end the arguments....

Try to handle internet pressure buddy...
Your customer doesn't care how much you 've in shop, until they know how much you care....

By then, we don't need bussiness to be polite.....
We need Politeness any where to any creature....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeona sasaaaa...
Wapi nimesema nina mashaka na biashara yako?

Mm point yangu kubwa kwako ni lugha CHAFU HUMU...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe bana huwezi biashara acha brah brah hapa....

Hoja huwezi, Biashara huwezi unachojua ni maneno ya shombo.....
Hello you 2 Guys, naona mmegeuzi hili jukwaa kama sehemu ya kugombania, kupeana mipasho, mimi naona kwamba wote nyinyi ni wambea, tafuteni sehemu nyingine ya kupeana mipasho, mada hii ilikuwa ikizungumzia simu sasa mmeanza kuleta story za maisha yenu, hakuna mtu anahitaji kujua story zenu, they are non of our business, kuweni wastaarabu, yapo majukwaa yanayowafaa kama Fb na insta, hapa tuna discuss issues sio mtu.
 
Tecno Camon X Pro Used
64GB/Ram4gb
Clean condition
200K
Nichek pm
IMG_20200302_170748_006.jpeg
IMG_20200302_170756_967.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello you 2 Guys, naona mmegeuzi hili jukwaa kama sehemu ya kugombania, kupeana mipasho, mimi naona kwamba wote nyinyi ni wambea, tafuteni sehemu nyingine ya kupeana mipasho, mada hii ilikuwa ikizungumzia simu sasa mmeanza kuleta story za maisha yenu, hakuna mtu anahitaji kujua story zenu, they are non of our business, kuweni wastaarabu, yapo majukwaa yanayowafaa kama Fb na insta, hapa tuna discuss issues sio mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23]we bana umekunywa chai?
Si mjadala umeisha huu? Labda aanze tena....
Half....
Mwenye mipasho hapa humuoni?
Anayeelezea Maisha yake hapa humuoni...?
Anaye attack watu hapa humuoni...?
Amenitukana karb kila quote, umeona nikimtukana?

Mm Huyu Nimeamua ku deal naye sbb ana lugha chafu humuu...na pia anaambiwa vzr anaanza kumshambulia mtu badala ya kujitetea,
Na ukiharibu humu unarekebishwa humu.....
Hamna cha fb wala insta...
Aache lugha chafu km nitamgusa.......
Masuala ya amekulia kwenye familia ya biashara kwaio anajua biashara....
Kwaio na sisi sababu anajua matusi, basi tu sum up kusema amekulia kwenye familia ya matusi?

Hapana bana maisha hayaendi hivyo.......
Hapa tupo sisi sio familia...
Hakuna namna yyt ya kuhalalisha lugha chafu..
Narudia HAKUNA.
 
Wadau.....
Mwenye Update ya bei ya bidhaa k.koo...
Kipndi hiki cha corona (COVID-19) atujuze hapa....Tunao enda tujipange....

Je bidhaa nying hazipatikani?
Je zinapatikana kwa shida?
Je zinapatikana ila bei ipo juu..?

Upendo na amani...
 
PHONE :iPHONE 6PLUS
CAPACITY: 16GB
BATTERY:100%
COLOUR: SPACE GRAY
CONDITION: CLEAN
PRICE: 380,000
LOCATION: SINZA MADUKANI & KARIAKOO @itechnology
Inquiries: 0714 036595
 

Attachments

  • IMG-20200303-WA0000.jpg
    IMG-20200303-WA0000.jpg
    63.4 KB · Views: 3
Let me put smile on your face, let me take care of your device......
 

Attachments

  • IMG-20200303-WA0004.jpg
    IMG-20200303-WA0004.jpg
    68.2 KB · Views: 3
Back
Top Bottom