Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Acha Njaaa mkuu...
Hutatoboaa.....

Hawa jamaa wanakuletea busara Lkn unajitia pambaa...
Sasa mm nanunua hizi kesii....

Weww jamaaa
HUJUI BIASHARA ACHA MANENOOO....
Kiufupi sina njaa
Biashara najua toka niko kitoto.

Afu tafuta suluhisho la tatizo la kupanick na hasira.
 
Wewe Nishakujaga Dukani unapouza...

Hilo duka sio Lako...
Hata bei mpk umuombe Boss akikubali kupubguza ndio uuze[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...
Mkuu acha utani kanjibai akiona Unachomfanya atakuachisha kazi uuze alkasusu
Lol see this stupid nauzia wapi?? Ahahhahaahahah sasa mwenye stress ni nani hapa?? Fanya kazi mzee huna stress pesa ndio huna.
 
Kiufupi sina njaa
Biashara najua toka niko kitoto.

Afu tafuta suluhisho la tatizo la kupanick na hasira.
Mkuu si useme tuu humu wewe.....(Nashindwa kutaja jina lako kwa sheria za jf) ni Dalali watu wajue...
Kua dalali sio shida.....
Ila tatzo Ni kutaka cha juu kupitiliza na Malugha ya Kitoto....

Mm nilishapona sasa nataka Nikusaidie na wewe maana naona unateseka sanaa....

Mkuu Hali ikizidi Mda mwingne unakunywa maji.....
 
Mkuu si useme tuu humu wewe.....(Nashindwa kutaja jina lako kwa sheria za jf) ni Dalali watu wajue...
Kua dalali sio shida.....
Ila tatzo Ni kutaka cha juu kupitiliza na Malugha ya Kitoto....

Mm nilishapona sasa nataka Nikusaidie na wewe maana naona unateseka sanaa....

Mkuu Hali ikizidi Mda mwingne unakunywa maji.....
Hujawahi kuja, na hatujawahi onana
Udalali nishafanya mbona nakubali. Yanini kuandikia mate njoo napouzia simu uongee na boss.
 
Hujawahi kuja, na hatujawahi onana
Udalali nishafanya mbona nakubali. Yanini kuandikia mate njoo napouzia simu uongee na boss.
Wewe sio boss bana acha Kujipaisha hapaaa...
Nilivyoona tuu unaleta masuala ya Sijui Familia ya kibiashara Nikaona sasa utafunga watu kamba humu....

Wewe jamaa hilo duka ni la boss,
Wewe ni dalali hata fb unamatangazo ya hivyo hivyo Na watu wanakujua...
 
Mkuu jossiest....
Mbuna hujibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukikaa kimya Roho inaniuma Boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Nataka ujibu shomboo...
 
jossiest acha bla blaaa.....
Jibu watu vizuri....
Maisha yatakua mzuri sana kwako laa sivyo hilo tatzo lako halitaishaa......

Mkuu km utataka msaada ni PM
Au nikutumie namba pm?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pengne hapa unaona aibuu....
 
Mkuu jossiest....
Mbuna hujibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukikaa kimya Roho inaniuma Boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nataka ujibu shomboo...

Boss nakujibu kwa mara ya mwisho, siwezi ajiriwa na mhindi kitambo nafanya maisha, udalali nimefanya nimeuza vioo na rims za. Magari.

Njoo dukani boss uongee na mwajiri wangu maana umeanza hadi kuleta mambo ya facebook hata mara ya mwisho kutumia sijui ni lini.

Familia yes nimezaliwa kwenye familia ya wafanya biashara najua lugha na jinsi ya kumfanya mteja anunue bidhaa. Sio kwamba najigamba hapa.

Nipo hapa kitambo natengeneza pesa,
Aya kukusaidia tu jamaa angu jina langu official ni Joseph James
Facebook nilisajili Jossiest Carson Jr kaangalie mara ya mwisho lini nimetumia mwisho njoo nikufundishe hata kutengeneza 10,000 kwa siku ujinga utakuisha maana unachozusha hapa ni umbea kama wa kike.
 
Aya jamani nina 50,000/= utanipa simu gani inayosapot whatsapp,instagram,viber pia iwe na 3G
Napatikana dar es salaam
Galaxy note 3 32gb storage,3gb Ram

Inashida ya screen tu,Ilianguka,inawaka screen ikiwa haionyeshi,inaita ikipigiwa,IPO kwenye hali nzuri




50k tu nakuachia....IMG-20191227-WA0004.jpeg




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss nakujibu kwa mara ya mwisho, siwezi ajiriwa na mhindi kitambo nafanya maisha, udalali nimefanya nimeuza vioo na rims za. Magari.

Njoo dukani boss uongee na mwajiri wangu maana umeanza hadi kuleta mambo ya facebook hata mara ya mwisho kutumia sijui ni lini.

Familia yes nimezaliwa kwenye familia ya wafanya biashara najua lugha na jinsi ya kumfanya mteja anunue bidhaa. Sio kwamba najigamba hapa.

Nipo hapa kitambo natengeneza pesa,
Aya kukusaidia tu jamaa angu jina langu official ni Joseph James
Facebook nilisajili Jossiest Carson Jr kaangalie mara ya mwisho lini nimetumia mwisho njoo nikufundishe hata kutengeneza 10,000 kwa siku ujinga utakuisha maana unachozusha hapa ni umbea kama wa kike.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu nakuomba Usiache kunijib mkuu....
Umekua rafiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],

Mkuu sasa unadai umekulia familia ya kibiashara, kwa nn usisimamie biashara za kifamilia unataka za jf....?

Mwenye kuhitaji msimamizi me niko tayari au biashara yoyote unataka kuanzisha nipo tayari kuwa sehemu ya biashara

Mkuu hilo sio Jina lako kua mkweli mkuu....

M nakujua vzr......

Kua dalali sio shida, kukosa pesa sio shida....
Hayo ni mambo ya mda tuu maisha yanabadilika....
Inshu ni pale unapoleta ujanja ujanja na Makuzi.....



Hapa kuna watu wanamaisha mazuri wanakuchora tuu wanacheka.....

Halaf wewe ni mtu mzima kbsa mkuu....

Mkuu jitahd ujibu kwa mda ili uzi uchangamke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Mkuu umeshakula?

Hapa umekutana na
TEMPER CONTROLAR...

Naona Unakuja taratibu....
Lengo langu upone jamaa yangu..
Maan hata mm nilikua hivyo boss

Sina nia mbaya......

M ni rafiki yako jamaa hujui tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


UPDATE....
Sasa mkuu unakaza hapa halaf unanifuata PM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu nakuomba Usiache kunijib mkuu....
Umekua rafiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],

Mkuu sasa unadai umekulia familia ya kibiashara, kwa nn usisimamie biashara za kifamilia unataka za jf....?

Mwenye kuhitaji msimamizi me niko tayari au biashara yoyote unataka kuanzisha nipo tayari kuwa sehemu ya biashara

Mkuu hilo sio Jina lako kua mkweli mkuu....

M nakujua vzr......

Kua dalali sio shida, kukosa pesa sio shida....
Hayo ni mambo ya mda tuu maisha yanabadilika....
Inshu ni pale unapoleta ujanja ujanja na Makuzi.....



Hapa kuna watu wanamaisha mazuri wanakuchora tuu wanacheka.....

Halaf wewe ni mtu mzima kbsa mkuu....

Mkuu jitahd ujibu kwa mda ili uzi uchangamke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Mkuu umeshakula?

Hapa umekutana na
TEMPER CONTROLAR...

Naona Unakuja taratibu....
Lengo langu upone jamaa yangu..
Maan hata mm nilikua hivyo boss

Sina nia mbaya......

M ni rafiki yako jamaa hujui tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


UPDATE....
Sasa mkuu unakaza hapa halaf unanifuata PM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maisha kwangu ni kupanda na kushuka hasa kwa rijali yoyote wanaelewa, kuna kipindi nimemaliza chuo nilikua desperate kuwa na pesa.

Nilitaka fanya kila kitu kwa wakati mmoja Mshana Jr shahidi nishamfata mara nyingi kumuomba ushauri nashukuru ushauri yake ulizaa matunda.

Joseph James ndio jina langu
Umri mzee Mshana Jr shaidi.
Kwanini sijasimamia biashara za kwetu check me 0714 036595.

Namuomba Mungu nisije kuwa baba kama wewe a dick rider father.
 
Jamani huyu mtu jossiest akijibu shombo humu au akileta bei isiyo elekezi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba mni quote.....

Naona karudisha mpira kwa kipa......

Nina hamu naye....
Ngoja nimfuate PM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unifate tena?? Wakati umeleta mrejesho nimekuja PM?? Clout chaser
 
Wakuu humu kwenye jukwaa kuna watu ni kama wanakuja haribu biashara ya watu wengine.....

Kuna mtu anaclaim ananijua nafanya kazi kwa mhindi mara napost bidhaa facebook, huo ni uongo.
Naamini wale watu ambao nimefanya nao biashara wana ushaidi.

Hii hapa ni screen shot ya mteja wa simu anasema ana mashaka na biashara yangu kutokana na maneno ya jamaa, kwenye hili kashinda.....
 

Attachments

  • IMG-20200302-WA0013.jpg
    IMG-20200302-WA0013.jpg
    56.1 KB · Views: 3
Kwa mteja yoyote mwenye mashaka na mimi hizi ni info zangu
Joseph James
0714 036595
Sinza Madukani, Msikitini street.
 

Attachments

  • Screenshot_20200114-120601_1.jpg
    Screenshot_20200114-120601_1.jpg
    56.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom