[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu nakuomba Usiache kunijib mkuu....
Umekua rafiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Mkuu sasa unadai umekulia familia ya kibiashara, kwa nn usisimamie biashara za kifamilia unataka za jf....?
Mwenye kuhitaji msimamizi me niko tayari au biashara yoyote unataka kuanzisha nipo tayari kuwa sehemu ya biashara
Mkuu hilo sio Jina lako kua mkweli mkuu....
M nakujua vzr......
Kua dalali sio shida, kukosa pesa sio shida....
Hayo ni mambo ya mda tuu maisha yanabadilika....
Inshu ni pale unapoleta ujanja ujanja na Makuzi.....
Hapa kuna watu wanamaisha mazuri wanakuchora tuu wanacheka.....
Halaf wewe ni mtu mzima kbsa mkuu....
Mkuu jitahd ujibu kwa mda ili uzi uchangamke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
Mkuu umeshakula?
Hapa umekutana na
TEMPER CONTROLAR...
Naona Unakuja taratibu....
Lengo langu upone jamaa yangu..
Maan hata mm nilikua hivyo boss
Sina nia mbaya......
M ni rafiki yako jamaa hujui tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
UPDATE....
Sasa mkuu unakaza hapa halaf unanifuata PM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]