Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 842
- 3,449
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vip jamaa yangu umetoka job?Maisha kwangu ni kupanda na kushuka hasa kwa rijali yoyote wanaelewa, kuna kipindi nimemaliza chuo nilikua desperate kuwa na pesa.
Nilitaka fanya kila kitu kwa wakati mmoja Mshana Jr shahidi nishamfata mara nyingi kumuomba ushauri nashukuru ushauri yake ulizaa matunda.
Joseph James ndio jina langu
Umri mzee Mshana Jr shaidi.
Kwanini sijasimamia biashara za kwetu check me 0714 036595.
Namuomba Mungu nisije kuwa baba kama wewe a dick rider father.