Ndio boss
Tecno Spark 4 mpyaaaa... Mwenye 200,000 anichek
View attachment 1405480View attachment 1405481View attachment 1405482
A10s naibwaga kwa 230k
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo picha naipiga vipi wakati simu ninayouza ndio yenye camera au inaweza jipiga picha mkuu? Kuhusu namba km unania njoo pm nitakupatia lkn simu ni mpya jaijamaliza hata mweziKamanda
1.Namba ujaweka
2.picha ujaweka
Ujasoma muongozo wa biashara humu
Picha ni hizo nijitahidi kupiga kupitia kiooKamanda
1.Namba ujaweka
2.picha ujaweka
Ujasoma muongozo wa biashara humu
Nipo DodomaTecno spark 4 mpyaaa haina tatizo lolote haijamaloza mwezi toka niinunue bei Tsh 200, 000/= kwa maelezo zaidi njoo pm
nakupa tecno N2Aya jamani nina 50,000/= utanipa simu gani inayosapot whatsapp,instagram,viber pia iwe na 3G
Napatikana dar es salaam
Tuwekee tuone kama kioo kizima au kishatengeneza ile mistari ya pink?S7 edge, Haina tatizo lolote, ukitaka na selfie tunapiga, bei 340,000... exchange kwa samsung A series ya line mbili ipo.
S7 edge, Haina tatizo lolote, ukitaka na selfie tunapiga, bei 340,000... exchange kwa samsung A series ya line mbili ipo.
A30S
hakija wahi vunjika, nna miezi nayo 3 tu, sema nimeshazoea simu za line mbili maana nna line 3.Tuwekee tuone kama kioo kizima au kishatengeneza ile mistari ya pink?
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1405480View attachment 1405481View attachment 1405482
A10s naibwaga kwa 230k
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwekee tuone kama kioo kizima au kishatengeneza ile mistari ya pink?
Sent using Jamii Forums mobile app