Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Used Redmi Note 8t 4GB RAM 64GB ROM
Price: TZS 380k
Loc: Dodoma
Mob: 0718628657/0759110633
20200321_112912.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamanda
1.Namba ujaweka
2.picha ujaweka

Ujasoma muongozo wa biashara humu
Hiyo picha naipiga vipi wakati simu ninayouza ndio yenye camera au inaweza jipiga picha mkuu? Kuhusu namba km unania njoo pm nitakupatia lkn simu ni mpya jaijamaliza hata mwezi
 
Tecno spark 4 mpyaaa haina tatizo lolote haijamaloza mwezi toka niinunue bei Tsh 200, 000/= kwa maelezo zaidi njoo pm
 

Attachments

  • 2354852_15856942465591193158880071358911.jpg
    2354852_15856942465591193158880071358911.jpg
    77.3 KB · Views: 2
  • 2354851_1585693988093423421727920463677.jpg
    2354851_1585693988093423421727920463677.jpg
    86.1 KB · Views: 2
S7 edge, Haina tatizo lolote, ukitaka na selfie tunapiga, bei 340,000... exchange kwa samsung A series ya line mbili ipo.
 

Attachments

  • 1585226909582.JPEG
    1585226909582.JPEG
    29.7 KB · Views: 2
  • 1585226911852.JPEG
    1585226911852.JPEG
    36.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom