Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,633
Si kweli mkuu. Ni used hizo, nyingine zimefanyiwa refurbished, tena wamebadili battery tu au housing, parts zote ni OG, ingekuwa ni fake watu wangelizwa mno! Maana ndio simu zimejaa madukani huku kwetu, tena wanaweza wakatoa hizo sticker ikawekwa ndani ya box sealed ikauzwa kwa bei ya mpya, ila sina haja ya kudanganya utauziwa kulingana na bei ya condion yake.Kuna jamaa jana alikuja hapa na kutahazarisha watu kuhusu simu zenye stickers from China and Dubai.
Alisema wazi kabisa hizo simu ni feki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia simu zinapouzwa kwenye market kule CN wanazipa kabisa asilimia kwamba ni 90% new au 95% new so ukiwa haujui unapigwa tu!Kuna jamaa jana alikuja hapa na kutahazarisha watu kuhusu simu zenye stickers from China and Dubai.
Alisema wazi kabisa hizo simu ni feki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu,... Wenye uhitaji wa iPhone, Samsung, Huawei, nk.. pamoja na accessories za jumla kutoka China, waje PM au WhatsApp wa.me/255759110633 tuchangamkie simu hizo kalii ni bei nzuri kabisa...View attachment 1430660View attachment 1430661View attachment 1430663View attachment 1430664View attachment 1430665View attachment 1430666
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1429649
Nakupa ushauri wa Bure tu
Usithubutu kununua Simu hizi
Zenye Sticker za kichina au Majina ya watu
Simu hizi nikutoka China na Dubai
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kweli mkuu. Ni used hizo, nyingine zimefanyiwa refurbished, tena wamebadili battery tu au housing, parts zote ni OG, ingekuwa ni fake watu wangelizwa mno! Maana ndio simu zimejaa madukani huku kwetu, tena wanaweza wakatoa hizo sticker ikawekwa ndani ya box sealed ikauzwa kwa bei ya mpya, ila sina haja ya kudanganya utauziwa kulingana na bei ya condion yake.
Hapa TZ watu wanauziwa hizo kwa bei ya mpya kitu ambacho si sawa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba tafadhari mtusaidie kufafanua, maana inatuchnganya wateja.
A51- 680,000 2years warranty
Sema hapa unamfunga jamaa KambaiPhone 8 plus 64gb pamoja na usafiri laki nane, S9 64gb laki sita na themanini View attachment 1430955
Sent using Jamii Forums mobile app
800,000 andaa boss cha iCloudNahitaji kioo used cha Iphone Xs Max..mwenye nacho karibu kwa mazungumzo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina tatizo gani iyo mpaka unauza kwa 50.Tablet ya Vodafone 50k njoo uchukue unapewa na chaji yake, nipo Dar es salaam View attachment 1403723View attachment 1403724View attachment 1403727
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna watu humu ni kuja kuharibu biashara sio wauza simu ni ujanja ujanja wanatumia, waambieni waweke bei hadharani sio unauliza bei wanakwambia njoo PM.Kuna jamaa jana alikuja hapa na kutahazarisha watu kuhusu simu zenye stickers from China and Dubai.
Alisema wazi kabisa hizo simu ni feki.
Sent using Jamii Forums mobile app
A51- 680,000 2years warranty
Sealed
0714 036595.
Screen protector zipo boss hadi cover hakuna tatizo.boss kuuliza si ujinga screen protector za hiyo simu zipo? Je uwekaji wake sio tatizo?
Ha ha ha sasa mkuu wanunulie watoto toy bana sasa ona wameharibu box la simu wkt imetumika siku 1 tuSamsung Galaxy S6 Gb32,Ram3gb.imetumika siku moja Aina shida yoyote mtumiaji alitaka double line ameletewa single line now inauzwa box la simu watoto wameendesha kama gari limechanika..bei aipungui 250000/=
Call/whtsapp 0676744827View attachment 1431301View attachment 1431303View attachment 1431302View attachment 1431305View attachment 1431304
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma[emoji23][emoji23]Ha ha ha sasa mkuu wanunulie watoto toy bana sasa ona wameharibu box la simu wkt imetumika siku 1 tu
Sema umenichekesha sana ulivyojihami mkuu
Eti watoto wanaendesha km gari dah una mbinu kari ya biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
550,000 boss ila ni bora ungenunua simu mpya 🤝✅.
Note 8 sina boss na simu hizi tu👇🏽Galaxy Note 8 kwani unauzaje hapo kwako kiongozi...?
kuna third part nilielekezwa kuinstall inaitwa ChatpatnerWapendwa anaeweza kuifanya simu yangu iweze kutumia google play store anisaidie, ni Huawei Y max toleo la december 2019, ram 4GB, internal storage 128GB, nipo dar naweza lipia mpaka tsh.30000/= kwa atakae nifanyia installation. Note; nimeenda kariakoo wameshindwa.
Mkuu Hao watoto ni shida hizi shule zifunguliwe tu wapo wawil ila km wapo timu nzima hizo toys zinapondwapondwa fasta [emoji23]juzi wameipiga bastora TV zile bastora Za maji TV ipo Kwa fundi now ni balaaaHa ha ha sasa mkuu wanunulie watoto toy bana sasa ona wameharibu box la simu wkt imetumika siku 1 tu
Sema umenichekesha sana ulivyojihami mkuu
Eti watoto wanaendesha km gari dah una mbinu kari ya biashara
Sent using Jamii Forums mobile app