Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

IPHONE 11[emoji336][emoji336]

64GB STORAGE..

BH [emoji367] 100% FACE ID [emoji777]️[emoji777]️

PRICE [emoji1314] TZS 700,000/=

USED LIKE A NEW [emoji95][emoji95]

DUKA LIPO KARIAKOO..

CALL [emoji1314] 0765 683 574
IMG-20230122-WA0001.jpg
 
Iphone 11 plain..

64gb [emoji117] tzs 790,000/=

128gb [emoji117] tzs 890,000/=

BH [emoji367] 90% - 100%

Face id [emoji736]

Used dubai [emoji1256][emoji1256]

Duka lipo Kariakoo..

Call [emoji117] 0765 683 574View attachment 2494948
primary%253AAndroid%252Fmedia%252Fcom.whatsapp.w4b%252FWhatsApp%2520Business%252FMedia%252F.St...jpg
 
Iphone 11 pro max
Face id[emoji736]
True tone[emoji736]
Battery health 94% (bado saaaanaaa)
Bei 1,000,000 offer kabambe
[emoji338]0628139218
[emoji625]Dar es salaam
IMG_3450.jpg

IMG_3449.jpg
 
OPPO A83 [emoji336][emoji336]

128GB STORAGE.. 6GB RAM..

BATTERY [emoji367] 3180 mAh..

USED DUBAI [emoji1256][emoji1256]

PRICE TZS 220,000/=

DUKA LIPO KARIAKOO..

CALL [emoji1314] 0765 683 574
IMG-20230110-WA0019.jpg
 
Hivi Samsung Note 10+ hakunaga za laini mbili?
Nimetafuta sanaaa nimejichokeaa.
 
Hivi Samsung Note 10+ hakunaga za laini mbili?
Nimetafuta sanaaa nimejichokeaa.
Hii ni Proof ya kua Simu nyingi zinazokuja futuhi ni mtumba na Refurb kutoka nje,

Note 10+ za laini mbili zipo na ni zinatengenezwa kwa Global(international)Market, kwahio ndio maalum kabisa kwetu sisi, lakini hatuzipati, kwa nini???

Iko hivi
laini moja ni za US, Europe, Canada, China Brazil na korea huko, Na nyingi zinakua Carrier Unlocked, kasoro za ulaya(zenye model inayoishia na ....F)

Kwahio hizi za laini moja unazoziona nying wanatumia wazungu huko, wakizichoka wanazitoa lock then wanatuuzia kama mtumba, Au
Zikiwaharibikia/Chakaa wanazipeleka viwandani zinaboreshwa zinakuja tena kama Refurbished(ndio zile nyingi unanunua zina vi stika).

Zile Global za laini mbili(....F/DS, ukiona Samsung yyt model namba yake mwisho ipo hivyo jua ni Global/international Model) hazitumiki huko kabisa au hutumika uchache kwa baadhi ya nchi, hivyo hizo chache ndio zinakuja au basi uende dukani uinunue kama mpyaa, kitu ambacho hatuwezi, Au Usubiri baada ya Mda flani Zitashuka bei zaidi ndio utaziona..

Asaiv ukiangali Samsung S6 Edge+, simu ya Mwaka 2015 zipo nyingi sana za laini mbili, kitu ambacho ulikua unatafuta hupati, Sababu ni nini? Zilikaa sana kwenye ma retail wakazishusha bei wakatumia kidg ndio zikaja futuhi..

USHAURI, kama Unataka Note 10+ ya laini mbili, Cha Kwanza achana kbsa na za 5G(hakuna za Laini 2 KABISA, japo ndio nyingi) Unajua kwa nini? Wakati zinatoka Afrika hakukua na nchi yenye 5G hivyo hakukua na haja ya kutengeneza za afrika, kwahio zikaishia nje, Kwahio Cheza na za 4G, sema inshu ni kwamba tunarudi pale pale hizo zao za 5G ndio zimejaa.
 
Hii ni Proof ya kua Simu nyingi zinazokuja futuhi ni mtumba na Refurb kutoka nje,

Note 10+ ya laini mbili zipo na ni kwa Global(international)Market, kwahio ndio maalum kabisa kwetu sisi, lakini hatuzipati, kwa nini???

Iko hivi
laini moja ni za US, Europe, Canada, China Brazil na korea huko, Na nyingi zinakua Carrier Unlocked, kasoro za ulaya(zenye model inayoishia na ....F)

Kwahio wanatumia wazungu huko, wakizichoka wanazitoa lock then wanatuuzia kama mtumba, Au
Zikiwaharibikia/Chakaa wanazipeleka viwandani zinaboreshwa zinakuja tena kama Refurbished(ndio zile nyingi unanunua zina vi stika).

Zile Global za laini mbili(....F/DS, ukiona Samsung yyt model namba yake mwisho ipo hivyo jua ni Global/international Model) hazitumiki huko kabisa au hutumika uchache kwa baadhi ya nchi, hivyo hizo chache ndio zinakuja au basi uende dukani uinunue kama mpyaa, kitu ambacho hatuwezi, Au Usubiri baada ya Mda flani Zitashuka bei zaidi ndio utaziona..

Asaiv ukiangali Samsung S6 Edge+, simu ya Mwaka 2015 zipo nyingi sana za laini mbili, kitu ambacho ulikua unatafuta hupati, Sababu ni nini? Zilikaa sana kwenye ma retail wakazishusha bei wakatumia kidg ndio zikaja futuhi..

USHAURI, kama Unataka Note 10+ ya laini mbili, Cha Kwanza achana kbsa na za 5G(hakuna za Laini 2 KABISA, japo ndio nyingi) Unajua kwa nini? Wakati zinatoka Afrika hakukua na nchi yenye 5G hivyo hakukua na haja ya kutengeneza za afrika, kwahio zikaishia nje, Kwahio Cheza na za 4G, sema inshu ni kwamba tunarudi pale pale hizo zao za 5G ndio zimejaa.

[emoji120]
 
Hii ni Proof ya kua Simu nyingi zinazokuja futuhi ni mtumba na Refurb kutoka nje,

Note 10+ ya laini mbili zipo na ni kwa Global(international)Market, kwahio ndio maalum kabisa kwetu sisi, lakini hatuzipati, kwa nini???

Iko hivi
laini moja ni za US, Europe, Canada, China Brazil na korea huko, Na nyingi zinakua Carrier Unlocked, kasoro za ulaya(zenye model inayoishia na ....F)

Kwahio wanatumia wazungu huko, wakizichoka wanazitoa lock then wanatuuzia kama mtumba, Au
Zikiwaharibikia/Chakaa wanazipeleka viwandani zinaboreshwa zinakuja tena kama Refurbished(ndio zile nyingi unanunua zina vi stika).

Zile Global za laini mbili(....F/DS, ukiona Samsung yyt model namba yake mwisho ipo hivyo jua ni Global/international Model) hazitumiki huko kabisa au hutumika uchache kwa baadhi ya nchi, hivyo hizo chache ndio zinakuja au basi uende dukani uinunue kama mpyaa, kitu ambacho hatuwezi, Au Usubiri baada ya Mda flani Zitashuka bei zaidi ndio utaziona..

Asaiv ukiangali Samsung S6 Edge+, simu ya Mwaka 2015 zipo nyingi sana za laini mbili, kitu ambacho ulikua unatafuta hupati, Sababu ni nini? Zilikaa sana kwenye ma retail wakazishusha bei wakatumia kidg ndio zikaja futuhi..

USHAURI, kama Unataka Note 10+ ya laini mbili, Cha Kwanza achana kbsa na za 5G(hakuna za Laini 2 KABISA, japo ndio nyingi) Unajua kwa nini? Wakati zinatoka Afrika hakukua na nchi yenye 5G hivyo hakukua na haja ya kutengeneza za afrika, kwahio zikaishia nje, Kwahio Cheza na za 4G, sema inshu ni kwamba tunarudi pale pale hizo zao za 5G ndio zimejaa.
Daadeki, kama kawaida yakoo...
Asanteee, umemaliza...
 
Hii ni Proof ya kua Simu nyingi zinazokuja futuhi ni mtumba na Refurb kutoka nje,

Note 10+ za laini mbili zipo na ni zinatengenezwa kwa Global(international)Market, kwahio ndio maalum kabisa kwetu sisi, lakini hatuzipati, kwa nini???

Iko hivi
laini moja ni za US, Europe, Canada, China Brazil na korea huko, Na nyingi zinakua Carrier Unlocked, kasoro za ulaya(zenye model inayoishia na ....F)

Kwahio hizi za laini moja unazoziona nying wanatumia wazungu huko, wakizichoka wanazitoa lock then wanatuuzia kama mtumba, Au
Zikiwaharibikia/Chakaa wanazipeleka viwandani zinaboreshwa zinakuja tena kama Refurbished(ndio zile nyingi unanunua zina vi stika).

Zile Global za laini mbili(....F/DS, ukiona Samsung yyt model namba yake mwisho ipo hivyo jua ni Global/international Model) hazitumiki huko kabisa au hutumika uchache kwa baadhi ya nchi, hivyo hizo chache ndio zinakuja au basi uende dukani uinunue kama mpyaa, kitu ambacho hatuwezi, Au Usubiri baada ya Mda flani Zitashuka bei zaidi ndio utaziona..

Asaiv ukiangali Samsung S6 Edge+, simu ya Mwaka 2015 zipo nyingi sana za laini mbili, kitu ambacho ulikua unatafuta hupati, Sababu ni nini? Zilikaa sana kwenye ma retail wakazishusha bei wakatumia kidg ndio zikaja futuhi..

USHAURI, kama Unataka Note 10+ ya laini mbili, Cha Kwanza achana kbsa na za 5G(hakuna za Laini 2 KABISA, japo ndio nyingi) Unajua kwa nini? Wakati zinatoka Afrika hakukua na nchi yenye 5G hivyo hakukua na haja ya kutengeneza za afrika, kwahio zikaishia nje, Kwahio Cheza na za 4G, sema inshu ni kwamba tunarudi pale pale hizo zao za 5G ndio zimejaa.
Mbona ya kwngu model number yake inaishia na F/DS alafu ni 5G, single line hii imekaaje...?
 
NEW ARRIVAL FROM DUBAI [emoji91][emoji91][emoji91]

Samsung S8 - 300,000/-
Samsung S8+ -380,000/-

Samsung S9 - 335,000/-
Samsung S9+ -410,000/-

Samsung S10 - 535,000/-
Samsung S10+ - 595,000/-
Samsung S10 5G -685,000/-

Samsung Note 8 - 1sim - 420,000/-
Samsung Note 8 - 2sim - 470,000/-

Samsung Note 9 - 2sim - 550,0001-
Samsung Note 10- 1sim - 695,000/-
Samsung Note 10+ 830,000/-

Used kutoka DUBAI na warranty ya miez 6[emoji736]
Excellent condition [emoji91][emoji91]

Tunapatikana SINZA KWA REMMY [emoji736]
Na Tunafanya Derivery Dar a kutuma mikoani [emoji736]

CALL/SMS/WHATSAPP 0747700128
IMG_6349.jpg

IMG_6325.jpg

IMG_6322.jpg
 
USED ORIGINAL IPHONES FROM UK & USA.

iPhone:-
6 plain 230k
6+ 270k
6s 270k
6s+ 330k
7 plain 32GB 380k
7 plain 128GB 380k
7+ 32GB 350k
7+ 128GB 430k
8 plain 380k
8+ 480k
X 550k
Xr 630k
Xs 700k
Xs max 850k
11 plain 800k
11 pro 1.2m
11 pro max 1.3m
12 plain 1.1m
12 pro 1.5m
13 plain 1.6m
13 pro 2m
13 pro max 2.3m
14 plain 2.2m
14 pro 2.9m
14 pro max 3.3m

10 months Warranty.

Exchange & [emoji772] Allowed[emoji736]

Discount [emoji736]

0676721372[emoji338]
Kariakoo .. China Plaza 2nd Floor[emoji625]
14 pro max GB Ngapi ni Tsh 3.3M.
 
Mbona ya kwngu model number yake inaishia na F/DS alafu ni 5G, single line hii imekaaje...?
Natumai itakua imeandika SM-N970F/DS..

Hii inamaanisha Free Model(F)/ Dual Sim(DS) Global Version

Hio / inamaanisha Au, hivyo

Kwahio unaweza ukapata ya free model ambayo ni singo,
Au dual Sim ambayo ni laini mbili,
Lakini zote kwa ujumla zinapewa model number moja...

Lakini pia naomba nikuulize,

Ni wapi umesoma hio model numbe ...F/DS? Nyuma ya simu au ndani kwenye about phone?
 
Natumai itakua imeandika SM-N970F/DS..

Hii inamaanisha Free Model(F)/ Dual Sim(DS) Global Version

Hio / inamaanisha Au, hivyo

Kwahio unaweza ukapata ya free model ambayo ni singo,
Au dual Sim ambayo ni laini mbili,
Lakini zote kwa ujumla zinapewa model number moja...

Lakini pia naomba nikuulize,

Ni wapi umesoma hio model numbe ...F/DS? Nyuma ya simu au ndani kwenye about phone?
nyuma ya simu...
 
Mwanangu Thinker toka TL mpaka huku.... Jah bless soon ntakuja ofisin nikuungishe
 
Back
Top Bottom