Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Jamani natafuta kioo cha note 3 original hata used poa offer yangu 150k
 
Ipo Htc desire 610
Mpya imetumika miezi miwili tu guarantee na full accessories
Bei 350000 tuuu
 
Habari.
Nauza samsung galaxy s3 ipo ktk hal nzuri kama kweli unaihitaji ni check kwenye no.071362027
s3[1].jpg
 
Nina Huawei y530 inataka 150,000.na kama una matatizo na simu yako tuonane humu 0715378899

ndugu yangu mm ninasim yangu hTc titan ni windowphone imeharibika na mafundi wanadai imeunguza AC power ambayo naona haipatikan naomba msaada kwa kua kuna vitu vyangu muhim sana ndani ya sim hii namba zangu ni 0687883420
 
Ndugu zangu ninauza simu yangu NOKIA X ina dumu na chaji ni imara hata ikianguka kama ilivyo sifa ya nokia zote,ni origina kama wewe ni mzoefu wa simu utaigundua,nimeinunua mwaka wa jana mwezi wa tisa 250,000 tsh,kwa sasa nimepigika naiuza 150,000 tsh kama upo tayari nicheki kupitia 0754463588,simu hii ni toleo lililoanza kutumika mwaka wa jana mwezi march!
 
Nokia x+ elfu 50
Touch imecrack, kila kitu kipo ok.
1436082214252.jpg
1436082230436.jpg
1436082242972.jpg
1436082260178.jpg
 
Nna blackbery Q10 nimeichoka tu ila ipo poa sana na unatumia vibandle vya kawaida hata vya chuo ni sh 380,000 maelewano yapo ni nyeupe ni pm
 
Nna blackbery Q10 nimeichoka tu ila ipo poa sana na unatumia vibandle vya kawaida hata vya chuo ni sh 380,000 maelewano yapo ni nyeupe ni pm


Daah mkuu kama Z30 yenyewe tunanunua kwa 250K second hand hiyo Q10 unaiuzaje mia nne kasoro?

Au ni mpya?
 
Back
Top Bottom