Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko maeneo gani? Na je ina tatizo gani?Samsung galaxy note 3. Original, used.
Price..380;000/
Ipo swadakta kabisa..
Info:0716403314
Nina 350 naweza pata note 3mkubwa mzigo ulikwenda wote ila kama huna haraka kwa wiki moja naweza kukupatia. mzigo utaondoka jumanne wiki inoanza na kufika jumanne wiki inofuata . kwa maelezo zaidi na picha ni pm no yako ya whatsapp nikutumie picha kabla kufunga deal .
Poa mkuu. Bahati mbaya sana mm niko Arusha kakaHaina tatizo mkuu..niamini.
Nipo zanzibar...km upo dar tunaweza fanya biashara...maana nauwezo wa kuifikisha mpaka hapo tu n'a si zaidi. Mr. Mdevu
Mwenye kuhitaji Samsung galaxy note 4 tuonane pm.
Bei gani unauza?[/QUOTE
200,000 tu boss
Vilevile nna tecno H6 nimetumia miez mitatu nataka 160k nataka kubadili simu haina shida yoyote
Bei gani unauza?
Samsung galaxy note 3. Original, used.
Price..380;000/
Ipo swadakta kabisa..
Info:0716403314
kuna copy ya h6 hapa unanipa shingapi nikuachie bado mpyaaaa
copy ki vp?
Naitaji blackbell nina Tshs.50000
Mkuu bei ishuke kidogo. Vipi risiti ulionunulia ipo?