Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Samsung galaxy note 3. Original, used.
Price..380;000/
Ipo swadakta kabisa..
Info:0716403314
 

Attachments

  • 1441510383197.jpg
    1441510383197.jpg
    31.3 KB · Views: 245
  • 1441510410375.jpg
    1441510410375.jpg
    40.1 KB · Views: 230
Haina tatizo mkuu..niamini.
Nipo zanzibar...km upo dar tunaweza fanya biashara...maana nauwezo wa kuifikisha mpaka hapo tu n'a si zaidi. Mr. Madevu
 
Last edited by a moderator:
mkubwa mzigo ulikwenda wote ila kama huna haraka kwa wiki moja naweza kukupatia. mzigo utaondoka jumanne wiki inoanza na kufika jumanne wiki inofuata . kwa maelezo zaidi na picha ni pm no yako ya whatsapp nikutumie picha kabla kufunga deal .
Nina 350 naweza pata note 3
 
Wadau nna HTC desire816 naiuza 320k nimepigika vibaya,simu ipo vizur haina shida yoyote nimetumia miez miwili kasoro
 
Vilevile nna tecno H6 nimetumia miez mitatu nataka 160k nataka kubadili simu haina shida yoyote
 
kuna copy ya h6 hapa unanipa shingapi nikuachie bado mpyaaaa
 
Helllow nauza tecno H5 pamoja na power bank yake pamoja na chaji. Atakaye hitaji anichek whatssap my no 0753606603
 
Back
Top Bottom