Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Nina galaxy note 4 clone ya korea.. Unahitaji 0713 799 522
 
Wadau humu naomba nimsaidie..nina sony experia s lt26i kuanzia juz wana2ma ujumbe kuwa android version is too old wanasema nidownload battery doctor ili niiupdate nimefnya ivo ila bado xo naombeni msaada juu ya ilo

hayo ni matangazo tu mkuu...wala usihangaike hayo... data connection ilikuwa on wakati umefungua app yenye hayo matangazo...
 
Nauza samsung galaxy s4..katika ubora wake..ni original.
32gb internal storage.
13 mp rear camera. .....
........bei ni 380,000/
Mawasiliano 0716403314.
 
Bei zenu ni kama nguvu za giza bei ya cm mpya dukan with warrant ndo bei zenu za cm used mpya humu jamii forum
Ikiwa note 3 wapata kwa laki 4 used vipi note 1 uuze 250000?
 
Bei zenu ni kama nguvu za giza bei ya cm mpya dukan with warrant ndo bei zenu za cm used mpya humu jamii forum
Ikiwa note 3 wapata kwa laki 4 used vipi note 1 uuze 250000?

Onategemea na condition ya sim,
Ila hapa waliowengi si wafanya biashara ni wale wanaoamua tu kuziuza sim zao
 
I phone 4s katika Iborra wake gb 16 utapata na cable yake 330k only piga 0712731473
 
nahitaji used black samsung galaxy s2 in mint condition... budget 170k... niko dsm
 
Samsung s3 ina miez 2 ni nyeusi fully box kwa 300,000/= piga 0714495367
 
Samsung galaxy s31 6gb 270,000/=

Sony experia Z2 470,000/=
0654145154 dsm.
 
Samsung S3
Nyeupe
Charger na earphone
Bei 250000/=Tsh.
0658404942
 
Back
Top Bottom