Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 839
Nahtaj smatphn nina elfu 40
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahtaj smatphn nina elfu 40
Mmmmmmh android tenaaa mbona kama mchina huyoooo
Haya sasa chombo hiyo hapo kama unavyoiona GALAXY NOTE 4 iko na hali nzuri sana,ukiihitaji call me 0715242454,0767242454
Hilo neno la android hapo chini lipo katika simu za kisasa zote, iwe orijino ama mchina, chunguzeni vizuri kwenye simu zote mpya za mwaka huu :/
Kimeo iko mkuu,usiingie chaka,hilo neno android liogope kama ukoma ukitaka simu orijino,
Kuna grup la wasap limeanzishwa linaitwa Sell And Buy Smartphone Here...nitumie namba ako nkuadd 0789594009
Kama hujui simu ni bora ukaushe tu hayo maneno yenu ya mtaani hayawasaidiii kitu,au hata hujui Android ni nn kwenye simu
Hilo neno la android hapo chini lipo katika simu za kisasa zote, iwe orijino ama mchina, chunguzeni vizuri kwenye simu zote mpya za mwaka huu :/
Ninayo huawei ideos ila haiwaki labda ukihitaji uipeleke kwa fundi wewe
Barack Obama hakutoa taarifa nzuri baada ya ziara yake Kenya. vilevile Obama na Balozi wa Kenya Marekani wamekuwa wakijibishana katika magazeti ya Marekani. Hiyo imeleta picha mbaya kwa serikali ya Kenya.
Kuna habari za kusikitisha sana za jinsi Museveni na serikali yake walivyowaswaga na kuwaweka katika makambi wananchi wa Uganda kaskazini. wachunguzi wa mambo wanadai kuna ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, ikiwemo mauaji na mateso, yaliyofanywa na Museveni dhidi ya wananchi wa Uganda kaskazini.
Uganda inatisha, mikono ya Museveni imetapakaa damu. Kitu cha ajabu ni kwamba nchi za magharibi zimemkumbatia huyu bwana, na Tanzania tunamuita ndugu yetu.