Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

sawa mkuu nimekuelewa ila tatizo hata ukiweka sim card haisomi kwa hiyo haina mawasiliano ya internet wala kupiga/kutuma ujumbe.
Katafute WiFi Ujaribu Kuiupdate...Ikigoma Niuzie Nimpe Mdogo Wangu.
 
ahsante wakuu ngoja nijaribu option hii ya kufanya update kwa Wi-Fi then nitarudi na mrejesho.
 
BlackBerry z10 inauzwa

Internal memory 16 GB
Camera 8 Megapixels
Front Camera 2 MP
RAM 2 GB

Ipo in very good condition haina tatizo lolote.

Bei 200,000 (Maelewano yapo)

Nipigie/nitext kwenye 0714499248
Nipo dar
 
Nahitaji tecno phantom 5 used kwa reasonable please instantly...
 
Blackberry z3 bado mpya kabisa nataka 260,000.nipo dar.0712484858.
 
Sio kweli kweli jaji mfawidhi. TCRA wana vigezo vyao vya kufungia cm. Na pia kujua kama itafungiwa kabla hujatoa mpunga c unaweza test.
ACHA KUPOTOSHA WATU
Nakiri kuteleza ulimi,nlikuwa namaanisha usinunue huku maana huwezi pewa efd receipt,Ni wizi ,Pili unaweza kuta iliibwa pahala sasa ukakutwa na kosa hapa mahakamani tunaita "recent possession"
 
Xiaomi Mi4 LTE 2G/4G support
Ni kama iPhone but in China market kila kitu sawa na iPhone
Android version 6.0.1
RAM 3.00GB
Internal memory 16 GB
Bei 450,000/=
 
Nauza Tablet ya DELL kwa anayetaka tuwasiliane , PM , MPYA NA BOX LAKE NA WARRANTY
 
Nauza lumia 625
internal memory gb8
external gb 64
ram 518
bei 250000
iko katika hali nzur npo zanzibar
 
Back
Top Bottom