Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Iphone 5s(16gb)nauza 500,000/=
ImageUploadedByJamiiForums1465301846.265832.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1465301891.448134.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1465301931.820498.jpg
 
Kuna jamaa yangu kununua C8 laki 250,000/= mpya kabisa.... Wapi ninaweza pata?
 
Tecno c5 bado mpya mpya ..imetumika 2week ..tsh/=185000
Ninashida nicheki kwa 0765919620...mwanza nyamagana....maelewano yapo.

Utapewa chaja na boksi lake.
4G INAPIGA KAZI FRESH.


WAHI KABLA SIJA KOPA
 
Nauza ipad apple air six Ina miezi miwili toka itoke u.s.a bei milioni 1
 
Nahitji battery ya HTC One min 2 kwa mwenye nayo aje tubonge
 
1465450889037.jpg

Kwa anayehitaji simu Original za Samsung atuchek.

Tunazo J1, J2, J7, na S7 Edge..

Simu zote ni mpya na zina warranty ya mwaka mzima.

Karibuni Sana.
dc87c32a519caba9f5a56b903bae3ec3.jpg
 
Back
Top Bottom