Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Airpods 2 bei elfu 95 tu dar usafr bure
Mikoani tunatuma ...kuwa wa kidigitali na skiliza mziki wenye quality sound
C571E30E-1963-4C1B-BE29-72D127C29F5D.jpg
IMG_0620.JPG
IMG_0619.JPG
IMG_0683.JPG



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Infinix hot 6
-16gb 2gb
-13mp & 8 mp
-fingerprint
Clean as New.kila kitu chake kipo,box,charger. Used 5 month
Bei 180,000/-
IMG20191229100106.jpg
IMG20191229100010.jpg
IMG_20191229_105524.jpg
IMG20191229100053.jpg
 
*SAMSUNG GALAXY S6 *[emoji336]

BRAND NEW BOXED[emoji320]
32GB MEMORY
4G LTE NETWORK
4GB RAM
16 MP CAMERA

All colors available (Gold, Dark blue and White)

One year warranty [emoji736]
Free delivery [emoji736][emoji736][emoji736]
Receipt+ customer service[emoji736]

Tsh *290,000/=*

Call or wastup *0716119347*
74efda1a-dfe4-4775-82d7-785ab04579c8.jpg
 
Jamani mzigo bado upo!!! Hotwav 6, 3gb ram, 32gb. Front camera 8.0 MP and back camera 16 MP Hd.
Only Kwa 170,000 full box. Check me out on WhatsApp 0679375111.
IMG_20191225_222412.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1307634
View attachment 1307636View attachment 1307671
Pamoja na kwamba hizo ni biashara zenu ila nadhani pia msikariri
kuwa Jina tu iPhone bado linasumbua watu
Leo hii watu wapo IPhone 11 ya 2019
unadhani kutoka hiyo 6 kavu hadi iPhone 11 kuna matoleo mangapi mkuu hapo kati?
hiyo yako ni 6 kavu
Angalia kuna
iPhone 6/ 6+
iPhone 6s/6s+
iPhone 7/7+
iPhone 8/8+
iPhone x hadi Leo ipo 11

sasa nawaza mwenye 7,8,10 wao si watauza bei ya gari kabisa?
Fanya biashara mkuu
ona huyo Said anauza
iPhone 7 plus 128 GB kwa Laki 6
hiyo ni reasonable kabisa
iPhone 10r anauza Laki 9 na 50
sasa boss wewe hiyo 6 kavu au kisa ni Plus ambayo
hata ios yake tu huwezi kupata update
coz zilishatolewa kwenye system
unakomaa bei hivyo?
Punguza watu wanunue rafiki yangu
Nisamehe iwapo nimetumia maneno makali

Mtakuja kutapeliwa kwa kupenda vitonga hakuna 7 plus yoyote mpya kwa sh 600k kuweni makini hapa ni mjini kama huna hela jichange kwanza utakuja kulizwa.
Huyo jamaa ni tapeli anadai yupo zenji umtumie hela akutumie mzigo post zake zite katoa comments watu waliotapeliwa wasieeze kuwashtua hapa ni mjini ukipenda kitonga utakiwa hayaa
 
Back
Top Bottom