Mitha
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 704
- 1,013
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini?una hasruna hatari wee jamaa[emoji849][emoji849][emoji849].
unauza bei ghali sana simu yako hiyo.
unauza bei ghali sana simu yako hiyo.
vivo x21
display 6.3"Corning Gorilla Glass 3
ram 6gb
rom 128gb
fingerprint
face unlocker
Dual camera 12mp/5mp
selfie 12mp
android 9
*Imebaki 1*
View attachment 1307215View attachment 1307216View attachment 1307218View attachment 1307219View attachment 1307220
Sent using Jamii Forums mobile app
iPhone 6+
Storage 64GB
Color rose Gold
Price 450K
Contacts PM
View attachment 1307553View attachment 1307554View attachment 1307555View attachment 1307556
View attachment 1307634
View attachment 1307636View attachment 1307671
Pamoja na kwamba hizo ni biashara zenu ila nadhani pia msikariri
kuwa Jina tu iPhone bado linasumbua watu
Leo hii watu wapo IPhone 11 ya 2019
unadhani kutoka hiyo 6 kavu hadi iPhone 11 kuna matoleo mangapi mkuu hapo kati?
hiyo yako ni 6 kavu
Angalia kuna
iPhone 6/ 6+
iPhone 6s/6s+
iPhone 7/7+
iPhone 8/8+
iPhone x hadi Leo ipo 11
sasa nawaza mwenye 7,8,10 wao si watauza bei ya gari kabisa?
Fanya biashara mkuu
ona huyo Said anauza
iPhone 7 plus 128 GB kwa Laki 6
hiyo ni reasonable kabisa
iPhone 10r anauza Laki 9 na 50
sasa boss wewe hiyo 6 kavu au kisa ni Plus ambayo
hata ios yake tu huwezi kupata update
coz zilishatolewa kwenye system
unakomaa bei hivyo?
Punguza watu wanunue rafiki yangu
Nisamehe iwapo nimetumia maneno makali