Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Masaa yetu ya kazi
Jumatatu ➡️ Jumamosi
2:00 asubuhi - 3:00 usiku

Jumapili
3:00 asubuhi - 11:00 jioni

🙏 Karibuni sana

logo1_31_95918.jpeg


📍Dar es Salaam
 
Hii ni Proof ya kua Simu nyingi zinazokuja futuhi ni mtumba na Refurb kutoka nje,

Note 10+ za laini mbili zipo na ni zinatengenezwa kwa Global(international)Market, kwahio ndio maalum kabisa kwetu sisi, lakini hatuzipati, kwa nini???

Iko hivi
laini moja ni za US, Europe, Canada, China Brazil na korea huko, Na nyingi zinakua Carrier Unlocked, kasoro za ulaya(zenye model inayoishia na ....F)

Kwahio hizi za laini moja unazoziona nying wanatumia wazungu huko, wakizichoka wanazitoa lock then wanatuuzia kama mtumba, Au
Zikiwaharibikia/Chakaa wanazipeleka viwandani zinaboreshwa zinakuja tena kama Refurbished(ndio zile nyingi unanunua zina vi stika).

Zile Global za laini mbili(....F/DS, ukiona Samsung yyt model namba yake mwisho ipo hivyo jua ni Global/international Model) hazitumiki huko kabisa au hutumika uchache kwa baadhi ya nchi, hivyo hizo chache ndio zinakuja au basi uende dukani uinunue kama mpyaa, kitu ambacho hatuwezi, Au Usubiri baada ya Mda flani Zitashuka bei zaidi ndio utaziona..

Asaiv ukiangali Samsung S6 Edge+, simu ya Mwaka 2015 zipo nyingi sana za laini mbili, kitu ambacho ulikua unatafuta hupati, Sababu ni nini? Zilikaa sana kwenye ma retail wakazishusha bei wakatumia kidg ndio zikaja futuhi..

USHAURI, kama Unataka Note 10+ ya laini mbili, Cha Kwanza achana kbsa na za 5G(hakuna za Laini 2 KABISA, japo ndio nyingi) Unajua kwa nini? Wakati zinatoka Afrika hakukua na nchi yenye 5G hivyo hakukua na haja ya kutengeneza za afrika, kwahio zikaishia nje, Kwahio Cheza na za 4G, sema inshu ni kwamba tunarudi pale pale hizo zao za 5G ndio zimejaa.
Ushauri kati ya 20+ ultra , note 20 ultra, na bei zake zikoje mkuu
 
iPhone 11 plain
Ya kishua👌
✍️: Ya kung'olea pisi grade "B" (Mabaharia)
:Ya kung'olea vibenten jobless(sugar mamas)
_______________________
ROM: gb64
RAM: gb4
Status: Used
Battery health: 97%
Face id: ❌
Condition: Excellent

😋😋 Tsh.695,000
Call/WhatsApp/SMS: +2556 8760 0847

255620461831_status_e70d0da830354489897ce6cd889ca206.jpg


📍Dar es Salaam
 
SONY XPERIA 8..

64GB STORAGE.. 4GB RAM..

USED FROM DUBAI [emoji1256][emoji1256]

PRICE [emoji117] TZS 300,000/=

DUKA LIPO KARIAKOO..

CALL [emoji117] 0765 683 574
IMG-20220915-WA0013.jpg
 
IPhone 8 plain
Gb 64
Funger print safi
Haina shida yoyote
Piga 0693300971
IMG_0186.jpg

IMG_0187.jpg

IMG_0188.jpg

IMG_0189.jpg
 
IMG20221230130157.jpg
oppo r7 plus
64GB rom
4GB ram
615 snapdragon
6.6inches display
ina cleki kidogo kwenye display lakin inaperform vizuri,niko dar es salaam nahitaji 150K napatikana kwa namba +255748106950
 
GOOGLE PIXEL 3A..

64GB STORAGE.. 4GB RAM..

USED DUBAI [emoji1256][emoji1256]

PRICE TZS 280,000/=

DUKA LIPO KARIAKOO..

CALL [emoji1314] 0765 683 574
primary%253AAndroid%252Fmedia%252Fcom.whatsapp.w4b%252FWhatsApp%2520Business%252FMedia%252F.St...jpg
 
Nenda shule kijana acha utoro
nishazeeka boss, na sikubahatika kusoma.

Ujue nini boss, kuna jamaa nilimwonesha huu uzi. Akajichanganya akaaguza simu na ikamfikia kweli.

Lahaullah lakwata, siyo kwa pigo alilolipata. Akichaji simu ikajaa, akimpigia mtu, hata dakika haiishi simu inazima. Akiwasha iko full charge.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na ni aina hiyohiyo.
 
nishazeeka boss, na sikubahatika kusoma.

Ujue nini boss, kuna jamaa nilimwonesha huu uzi. Akajichanganya akaaguza simu na ikamfikia kweli.

Lahaullah lakwata, siyo kwa pigo alilolipata. Akichaji simu ikajaa, akimpigia mtu, hata dakika haiishi simu inazima. Akiwasha iko full charge.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na ni aina hiyohiyo.
Duh Kuna mtu anatafutiwa mpigo sasa
 
nishazeeka boss, na sikubahatika kusoma.

Ujue nini boss, kuna jamaa nilimwonesha huu uzi. Akajichanganya akaaguza simu na ikamfikia kweli.

Lahaullah lakwata, siyo kwa pigo alilolipata. Akichaji simu ikajaa, akimpigia mtu, hata dakika haiishi simu inazima. Akiwasha iko full charge.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na ni aina hiyohiyo.
Mkuu siku hizi mambo ya betri siyo issue tena unaenda unanunua betry kama ni ya hiyo ni sh 100000 mpya unabdilishiwa tu
 
IMG_3425.jpg

Iphone 7 Plus
Gb 128
Battery 100
Fingerprint [emoji736]
280,000/=
Simu Used but Clean Sana [emoji91]
 
Sija elewa lengo lako mkuu.out of all comments umeni shukia tangazo langu una tatizo na mimi labda ??
Hapana, basi tu nilianzia hapo. Na kwa majibu ya niende shule, yakanifanya niandike kitu.

Kuambiwa niende shule manake mimi hamnazo na kwamba sifahamu mitu kuhusu hii biashara. Si kweli, nina abc kuhusu hizo simu.

Tusikimbilie kujaji anaye comment negatively kwenye uzi wako hakwenda shule.

Halafu niko fresh sina hasira wala stress.
 
Back
Top Bottom