Wauza tiketi wa usafiri wa Mwendokasi wanakera sana

Hayo magari ni ya kishsmba mno, hayana mfumo wa GPS, bell 🛎 hazifanyi kazi, yanajaza abiria kama ng'ombe wapelekwao machinjioni, hayana kiyoyozi, so mambo ya kuswap card hayawezi kuwemo ktk hayo magari
Nchi yetu tunaishi miaka 50 nyuma ya wakati
 
Wanamdharau nani wakati wao ni misukule ya kukusanya hela za watu.
 
Mtz na wizi alirogezewa kwenye wizi weka mfumo utapigwa,weka manually utapigwa, wakat mwingine waacheni wapige ili watoe huduma bora sababu Wana motisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…