bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Umewahi sikia Yale ya kwa dakikaMfumo wa e-ticket ulikuwa unazuia wizi. Ila kwa sasa wauza ticket ni matajiri. Dkt Samia anahujumiwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi sikia Yale ya kwa dakikaMfumo wa e-ticket ulikuwa unazuia wizi. Ila kwa sasa wauza ticket ni matajiri. Dkt Samia anahujumiwa!
Nchi yetu tunaishi miaka 50 nyuma ya wakatiHayo magari ni ya kishsmba mno, hayana mfumo wa GPS, bell 🛎 hazifanyi kazi, yanajaza abiria kama ng'ombe wapelekwao machinjioni, hayana kiyoyozi, so mambo ya kuswap card hayawezi kuwemo ktk hayo magari
Nani wa kulaumiwa?Nchi yetu tunaishi miaka 50 nyuma ya wakati
Wanamdharau nani wakati wao ni misukule ya kukusanya hela za watu.Siamini kabisa kuwa Udart wanaweza kuendesha biashara kwa kukosa chenji ya kurudisha kwa abiria wao.
Mara nyingi sana utakutana na kero la kukosekana chenji kwenye vile vibanda vya wauza tiketi vilivyoko kando ya barabara ya Morogoro hasa kwa maeneo ya Kimara Temboni, Mbezi kwa msuguri, Kibamba, Kiluvya nk.
Wakatisha tiketi wana sura ngumu, majibu ya nyodo, kebehi, dharau, huwa wanajibu kwa sauti kubwa HAKUNA CHENJI kisha wanatazama pembeni.
Hivi ni kweli wakatisha ticket Udart wanakosaga chenji? Kwa nini wakose chenji?
Yepi hayo mkuu?Umewahi sikia Yale ya kwa dakika