M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Kwa hiki umeandika, una uhakika akili yako imeunganika na kinywa chako?Wauza uduvi wote Dar wapewa tahadhari ya kujiongeza vinginevyo WATAOLEWA!
Hili swali lako muulize Kwanza mkuu wa mkoa wa DAR...kaongea haya Maneno JanaKwa hiki umeandika, una uhakika akili yako imeunganika na kinywa chako?
Shrimp.Uduvi ni nini?
Wanaenda kuolewa soonShrimp.
😂😁😃😉😉😉😉😉Kwa hiki umeandika, una uhakika akili yako imeunganika na kinywa chako?
Hatari sanaHuyu kaongea takataka tupu
Huyu mkuu wa mkoa ni mlopokaji
Ova
Muuza uduvi (Wa-Kiume) aolewe na nani?Huyu jamaa naye aangaliage vya kuongea mbele za umati, kwani hajui kuwa watanzania hatupendi kuambiwa ukweli, watanzania tunataka utuelewe tu hata kama sisi wenyewe hatujielewi
Au caterer anagawa msosi kwenye shereheChalamila n lopo lopo lakin Leo kaongea kweli mtoto wa kiume lazima ufanye kaz za kiume Leo hii unakuta mtoto wa kiume anapamba ukumbi
Sio kinywa mkuu kwa hapa ni Akili na mikonoKwa hiki umeandika, una uhakika akili yako imeunganika na kinywa chako?