Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Dar tuna mkosi.Hili swali lako muulize Kwanza mkuu wa mkoa wa DAR...kaongea haya Maneno Jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar tuna mkosi.Hili swali lako muulize Kwanza mkuu wa mkoa wa DAR...kaongea haya Maneno Jana
hajui kuna watu wamemwomba Mungu awape hata hiyo biashara ya uduvi tu,na walivyoipata wameshukuru Mungu. duniani ukipata huwa unawaona wale wasionacho kama vile wavivu. ateme mate chini.Wauza uduvi wote Dar wapewa tahadhari ya kujiongeza vinginevyo WATAOLEWA!
Alafu yupo serious kabisa, daaah [emoji3][emoji3][emoji3]Wauza uduvi wote Dar wapewa tahadhari ya kujiongeza vinginevyo WATAOLEWA!
Wewe kuajiriwa na shemej ushaona wenzako wajinga.Chalamila n lopo lopo lakin Leo kaongea kweli mtoto wa kiume lazima ufanye kaz za kiume Leo hii unakuta mtoto wa kiume anapamba ukumbi
Tuliza kisharwara hicho,Kazi za kiume ndio zipi hizo?Chalamila n lopo lopo lakin Leo kaongea kweli mtoto wa kiume lazima ufanye kaz za kiume Leo hii unakuta mtoto wa kiume anapamba ukumbi
Hakuna AI hapo ni yeye.Hivi huyu ni maneno yake au ni AI...maana hii ni Video ya pili..
Si maneno ya Mkuu Wa Mkoa haya
Hao ndio wana shauri vijana vyuoni kwenye mahafali wasiombe kazi serikalini, bali wajiajiri.Yeye kalamba teuzi anaona Watu wote mafala, soko la ajira Tanzania ni gumu sana.
Alikuwa akiongea wapi..!?nipe linkHakuna AI hapo ni yeye.
Unajua watu wanajisahau sana,Kuna watu wanajitafuta wanaishi chumba Cha Giza,Kodi 15k.
Maji wanachota kisima Cha tairi,yeye anazungumzia bill ya maji 30k!
Binadamu hata awe faqir huwezi kumdhalilisha kama hivi.
Mtu anapambana Leo anaambiwa ataolewa?
Huyu jamaa kichwa chake kama cha mbowWauza uduvi wote Dar wapewa tahadhari ya kujiongeza vinginevyo WATAOLEWA!
Wendawazimu ndiyo viongozi wetuDar tuna mkosi.
Wauza uduvi wote Dar wapewa tahadhari ya kujiongeza vinginevyo WATAOLEWA!
View: https://youtu.be/LIjez6dA9jw?si=-v8WNpI7o76jClr2
View attachment 3186940
Mkuu wetu kazinguaUduv
KIukwel mkuu wetu kaznguaUduv