Maisha magumu biashara zote zimebuma hasa za vyakula..Tunakula mlo mmoja kwa sikuHabari wakuu, leo katika pilika pilika zangu za manunuzi ya mayai ya kisasa dar nimeshanga kukuta bei ya mayai sh 5000 wakati baada kama mwezi mmoja Uliopita ilikuwa 8500, sekta hii imekumbwa Nini?
Ameuliza kwa mshangao hajalalamikaTeh teh wabongo vepeeee ikipanda bei shida ikipungua shida...by the way nahisi wafugaji ni wengi....supply imezidi demands
Mi bado nauza kwa 8500.Vp mkuu, nikuletee?Habari wakuu, leo katika pilika pilika zangu za manunuzi ya mayai ya kisasa dar nimeshanga kukuta bei ya mayai sh 5000 wakati baada kama mwezi mmoja Uliopita ilikuwa 8500, sekta hii imekumbwa Nini?
Habari wakuu, leo katika pilika pilika zangu za manunuzi ya mayai ya kisasa dar nimeshanga kukuta bei ya mayai sh 5000 wakati baada kama mwezi mmoja Uliopita ilikuwa 8500, sekta hii imekumbwa Nini?