Wauzaji mayai mmekumbwa na Nini trey 5000?

....kila mtu nyumbani anafuga na kulima nyanya ,tikiti nk sasa unadhani nani atanunua ya nani na ukata huu. kusini huko tenga au ndoo kubwa la nyanya 1500/= .......
Mkuu sio huko tu, hata mikoani morogoro debe 1000 hadi 800, na hizo ndiyo umepeleka sokoni. Shamban ndo usiseme. Wakulima wamesusa mashamba yao ya nyanya maana hakuna wateja.
 
Hakuna wazalishaji wenye uwezo wa kulilisha soko LA mayai ni kubwa sana
Mmmh [emoji15] [emoji15] [emoji15] .. Uko too general mkuu... Kubwa kivip? Why kama ni Kubwa kwanini yanakosa soko?
 
Hiyo ni moja ya laws za DEMAND and SUPPLY
Ndio zinapanga Market Price
 
Hayo mayai ya kuku mazoba kwahio ukiyala utakuwa zoba. mikuku imeregea kama delicious ukiyala utakuwa mpuga tu.
 
Biashara zingine zimegoma saizi kila mtu amekimbilia kufuga, ndio matokeo yake haya. Viwanda vinapunguza wafanyakazi, cheki idadi ya Maduka yaliyofungwa mtaani kwako au angalia yaliyopo jinsi makabati yalivyo matupu ndio utajua tuko wapi
 
Habari wakuu, leo katika pilika pilika zangu za manunuzi ya mayai ya kisasa dar nimeshanga kukuta bei ya mayai sh 5000 wakati baada kama mwezi mmoja Uliopita ilikuwa 8500, sekta hii imekumbwa Nini?
Hayo mayai ya trey shs 5000 yanapatikana/yanauzwa sehemu gani?
 
Habari wakuu, leo katika pilika pilika zangu za manunuzi ya mayai ya kisasa dar nimeshanga kukuta bei ya mayai sh 5000 wakati baada kama mwezi mmoja Uliopita ilikuwa 8500, sekta hii imekumbwa Nini?
MBONA NIMEENDA DUKANI ELF 11?
 
Habari wakuu, leo katika pilika pilika zangu za manunuzi ya mayai ya kisasa dar nimeshanga kukuta bei ya mayai sh 5000 wakati baada kama mwezi mmoja Uliopita ilikuwa 8500, sekta hii imekumbwa Nini?
wewe utakuwa umeingizwa chaka viza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…