Wauzaji mayai mmekumbwa na Nini trey 5000?

Ni bongo tu ndio mayai ghali yalitakia yashuke hadi 4000
Ya Kienyeji ya shuke hadi 8000
 
Sahvi tray 1 Ni tsh 6500 mpaka 6500

OVA
 
sukari ikipanda mnalalamika mayai yakishuka bei bado ni shida, vipi wana UKUTA mbona hatuwaelewi
 
Kuna jirani mchina hana hata kakuku kamoja lakini anauza mayai kinomanoma[emoji34][emoji35][emoji11]
 
Habari wakuu, leo katika pilika pilika zangu za manunuzi ya mayai ya kisasa dar nimeshanga kukuta bei ya mayai sh 5000 wakati baada kama mwezi mmoja Uliopita ilikuwa 8500, sekta hii imekumbwa Nini?
Nina wasiwasi na hayo mayai
 
sukari ikipanda mnalalamika mayai yakishuka bei bado ni shida, vipi wana UKUTA mbona hatuwaelewi
Sukari ikipanda bei mteja atalalamika,mayai yakishuka bei wakati gharama za ufungaji ziko juu mfugaji lazima atalalamika.na wala syo swala la UKUTA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…