Bangi inakufanya uwe serious na kile unachokifanya mambo mengine huwa unapotezea tuIla nasikia kunako eti wanakuwa mdebwedo, eti ile kitu inawafanya wasipende kunjunja. Kuna jamaa juzi tu alikuwa ananiambia hivyo, hata kwa mkewe hana wivu kabisa, ashawahi kulala na shemeji zake kitanda kimoja for a week bila bila...
Nikajisemea...looooh!!
Ingekuwa hivyo Bob asingeweza kufyatua matofali tena tofali lingine kafyatua na miss world.Ila nasikia kunako eti wanakuwa mdebwedo, eti ile kitu inawafanya wasipende kunjunja. Kuna jamaa juzi tu alikuwa ananiambia hivyo, hata kwa mkewe hana wivu kabisa, ashawahi kulala na shemeji zake kitanda kimoja for a week bila bila...
Nikajisemea...looooh!!
Ww huvutiWanakuja
Hiyo bangi imekufikisha mpaka wapi kielimu au umekupa mkono njiani?[emoji4]Wakati nipo form 3 ndio nimeanza hizi mambo nikipiga vitu napata mzuka wa kusomaa mbaayaa....kitu cha ten ten ni mwendo wa kupasiana vijiti tu
Nimemaliza form 4 na kupata alama nilizokuwa nazihitaji nikaenda College ya Engineering na kuhitimu fresh sasa hv napiga issue zangu freshHiyo bangi imekufikisha mpaka wapi kielimu au umekupa mkono njiani?[emoji4]
Umebonga factire Arifu.mida hii yajioni kijua kinaza ndio mida ya kuchill,pembeni mirinda nyeusi na tunakula kitu taratibu yani kama tupo wakanda,na pembeni tunapiga maplaylist ya hatari....[emoji23][emoji23][emoji23] hakuna kama weed mazee,wazee wagambe hapa wakasome [emoji23][emoji23]
Nikipanda hapo nashuka baadae sana...Nasikia wavutaji nyie mkiwa kwa bed kuna shughuli
oi oi i feel u rasta,good vibes hapo kama edenNawakilisha kutoka pande za Ujiji-Kigoma...
Nakiwashaaaa huku natizama maji ziwa Tanganyika na kiupepo flani iviiiii.......
Na kitu cha Juice pembeni.
Raha sanaaaaa.....
Jah never die, if die never decay, if decay will perfume nigger...
nami moda hii nimepoa na wana maskani,miti ya kutosha ni sauti za ndege tu ,upepo flani.tunapata dawa za kutoshaNawakilisha kutoka pande za Ujiji-Kigoma...
Nakiwashaaaa huku natizama maji ziwa Tanganyika na kiupepo flani iviiiii.......
Na kitu cha Juice pembeni.
Raha sanaaaaa.....
Jah never die, if die never decay, if decay will perfume nigger...
Dry,wake n bake shit.wazee wa mixer,mi dry mixer vyote sawa ila sigara sivutiView attachment 882465
ogDry,wake n bake shit.View attachment 886284