Anashtua akili ili aanze kuporomosha madude mtangazaji akimuhojiView attachment 865471View attachment 865472
Elon musk, CEO& Co-founder wa Tesla, Space x, neuralink aki-test mitambo. This man is a modern-day einstein.
Mkuu inategemea umekula shada ya aina gani??zipo nyingi na ubora tofauti..na shada haihitaji uvute pull nzima ndo uiskie..hata pafu 2 tu unasikia inavyopita kwa nervous systemNimekulaga shada mpaka kichwa ikawa sugu hata nimoke pull mia sisikii stim yoyote.
Nimeamua kuikacha tu.
We kumbe unatujua vizuri na ukiona kuna weed smoker mcharuko ujue huyo ana-act aonekane mjanjaWeed smokers wengi wanakuaga wapole sana
Sawa mkuuWAGWAN RASTA,maninja wote ambao tunatumia ile kitu asili mmea,tukutane hapa.tupeane michapo ya weed,habari za weed,utani wa weed na vitu ka hizo u know.hakuna kitu kama weed na hapa tunailegalise....ngonga ,washa vuta.roll in peace rasta.....
WAGWAN RASTA,maninja wote ambao tunatumia ile kitu asili mmea,tukutane hapa.tupeane michapo ya weed,habari za weed,utani wa weed na vitu ka hizo u know.hakuna kitu kama weed na hapa tunailegalise....ngonga ,washa vuta.roll in peace rasta.....
ebhana noma hiiAjajajaaa,mambo yangu haya
Mdau anayejua [emoji366] ya mzigo dizaini hii hapa bongo,tafadhali njoo pm,sharing is caring
View attachment 865545
Kuna aina flani ya uyoga ukila unalandua kabisa unaona mapichapicha,wenyewe wanaita shrooms,najaribu kufuatilia kujua hapa tz inapatikana wapi.Kipindi fulani nikiwa mtoto niliwahi Kuchukua majani fulani hivi makavu nikayasokota kama bangi nikampa dogo mmoja avute.
Aisee tangu siku ile nilijua kuwa kuna majani zaidi ya bangi yule dogo alizirai.
HahahaUmenikumbusha matawi ya juu.. RIP Langa kileo
Oi oi oi ,kitu cha capachino ,sinza Vatican ,washaaoi oi moto mwanangu
Kitu kwa pusha,baba chanja ,kino hananasifoi oi moto mwanangu
Tanzania wengi tunavuta shabu,substandard ganja a.k.areggie.bangi miti kibao,vumbi humohumo,mimbegu humohumo,bangi yenyewe imechumwa kabla haijakomaa vizuri wala kukaushwa kitaalamu,nyengine zimelowekwa gongo na mafuta ya taa,ndo maana wengine wanawehuka.bangi unauziwa jelo tena mjini unategemea itakuwa na ubora wa maana?.Nimekulaga shada mpaka kichwa ikawa sugu hata nimoke pull mia sisikii stim yoyote.
Nimeamua kuikacha tu.
Upo salama na sio adictive,ila ni halucinogenic.usijekua wanyoka huo,upo salama kwa stimu?[emoji23]
Mkuu navuta kitu cha Angola, ni balaa ,maramamaeTanzania wengi tunavuta shabu,substandard ganja a.k.areggie.bangi miti kibao,vumbi humohumo,mimbegu humohumo,bangi yenyewe imechumwa kabla haijakomaa vizuri wala kukaushwa kitaalamu,nyengine zimelowekwa gongo na mafuta ya taa,ndo maana wengine wanawehuka.bangi unauziwa jelo tena mjini unategemea itakuwa na ubora wa maana?.
Ganja nzuri/high grade huwa haina mbegu nyingi na iliyo bora zaidi inakuwa haina mbegu kabisa(bubu/unpolinated female plant),inakuwa inanukia harufu fulani hivi amazing,inakuwa na nta ya kutosha inanata nata,ukivuta humalizi joint/blunt nzima kwa mkupuo,na lazima ukohoe kidogo.