Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jichagulie mwenyewe mi nipo kwa ajili yakoLini hiyo siku yangu?
angalia usije ukalia mchana kweupeNaombeni mnipe na mimi nivute kwani ikoje.
angalia usije ukalia mchana kweupe
Leojichagulie mwenyewe mi nipo kwa ajili yako
Usijaribu kuingia kwenye anga hizi....subiri nikupe story moja wakati nipo Dom (makao makuu ya nchi) hapo bado sijaanza ku-inhale nilikuwa na mshikaji wangu mtu wa Arachuga kila siku baada ya kutoka shule tunaenda kupiga tizi (mpira) km kilometers 5 kutoka nyumbani tulikuwa tunatumia usafiri wa Baiskeli moja shipa ile mbaaya.......Nasikia wavutaji nyie mkiwa kwa bed kuna shughuli
Hahaha mkuu bwana mm nilijua unazungumzia kuhusu kukulana kitandaniUsijaribu kuingia kwenye anga hizi....subiri nikupe story moja wakati nipo Dom (makao makuu ya nchi) hapo bado sijaanza ku-inhale nilikuwa na mshikaji wangu mtu wa Arachuga kila siku baada ya kutoka shule tunaenda kupiga tizi (mpira) km kilometers 5 kutoka nyumbani tulikuwa tunatumia usafiri wa Baiskeli moja shipa ile mbaaya.......
....sasa wakati tunatoka home tukiwa tumepakizana jamaa anashindwa kabisa kuendesha kutokana na ubovu wa ile bycle anaendesha taratiibu sasa kuna chaka moja tukifika jamaa anasimamisha bycle ananiambia nisubiri nakuja anaingia porini....kipindi hicho mi bado junk nipo formless yeye yupo formtatu....basi jamaa akitoka huko zile nguvu sijui huwa anazipata wapi za kuendesha baiskeli spidi kubwa hajali chochote si mteremko si korongo yaani mi huku nyuma moyo unaenda mbio kwa kuhofia ajali......sasa fikiria we mdada unakutana na watu km sisi utakimbia na Picchu mkononi.... 😀 😀 😀
Na kitandani inakuwa hivyohivyo atujali ni spidi 120 mpaka stimu zikikata na wewe umeshachakaaHahaha mkuu bwana mm nilijua unazungumzia kuhusu kukulana kitandani
Try at your own risk mkuu .Naombeni mnipe na mimi nivute kwani ikoje.
Kesho bwana, majani twende tukajilipue
Mimi nimeacha nashukuruTry at your own risk mkuu .
Sisi wengine tulijikuta tuu vooop tunatumia .
Basi no way ni ngumu kuacha kama punyeto tu .
Wala hujakoseaNasikia wavutaji nyie mkiwa kwa bed kuna shughuli
Hongera boss .Mimi nimeacha nashukuru