Wavutaji wote hapa

Wavutaji wote hapa

Nimefurahi babe kusikia umeacha mm situmii mpaka uzee huu sitatumia acha niendelee na ulevi wangu wa beer tu babe
Nilishawahi vuta, nna rafiki wanavuta kuna lounge wanamix na shisha likianza vutwa hapo watoto wanalegea wenyewe!.
Kama unatumia sema nikupeleke bebe me asante ila nishaacha!.
 
Me sivuti mama, ila ntafurahi kukuona unavyokuwa ukitumia!.🙂😛
Babe hapana sijawahi na sitawahi mm kilevi changu heineken nilewe nikuchekee weeeh niongeee nikuchezeee
 
Hiyo shisha ndio siilewagi kuna siku nipo na rafiki zangu kila mtu namtungi wake nikasema ngoja nijaribu kwakweli imenishinda
[emoji23][emoji23] Nilikuwa nikilivuta nakua kama mepigwa ganzi, mpaka nikalale kama nusu saa ndo nikae fresh nikaona starehe gani hizi!.. Tutakuja uana tu!
 
Bora nivute bangi kuliko sigara. Nimevuta sana haya madude enzi za advance na mpaka leo nakumbushiaga mara moja moja.
 
Back
Top Bottom