FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,548
Hivi kwanini alikiwasha studio?View attachment 865471View attachment 865472
Elon musk, CEO& Co-founder wa Tesla, Space x, neuralink aki-test mitambo. This man is a modern-day einstein.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwanini alikiwasha studio?View attachment 865471View attachment 865472
Elon musk, CEO& Co-founder wa Tesla, Space x, neuralink aki-test mitambo. This man is a modern-day einstein.
Amna nomaUkijua nishtue mkuu
Hii sio Tanzania magic, strain ya wapi hii mkuu?Happiness comes in nuggets.gold nuggets,chicken nuggets and ....View attachment 868247
Kichwa panzi bora hata uliacha ila acheni kuudisi mmea kwa story zenu za kutungaMimi bangi ilishaga nishinda,siku moja nlitoka hom saa 4 asubuhi,nkapita maskani nikaanza kuvuta,mida ya saa 5 na nusu asubuhi nikarejea hom,nlipofika tu,eti nikaanza kusalimia nyumba nzima
Mmoja baada ya mwingine tena kwa kuwapa na mkono[emoji3]
Broo akanishtukia sipo sawa,akanisukutua kibao cha maana usoni,***** hapo ndo akili ikarudi,tokea siku hio nikaiharamisha bangi[emoji13]
Mimi Starehe nilizonazo zinanitosha, siongezi nyingine, zaidi zaidi, ntapunguza hizi nilizonazo.Ndani ya msitu mnene,nachambua nanyonga kisha navuta
Ganja nanyonga mwenyewe simuamini pusha,asije nipa famba akaniambia cha arusha
Ganja navuta,pamba nanyuka,kwanja naruka,sio mpk niombe kwanza ruksa
Tutembezeani kijiti wakuu
Kwamba siku 3 na kuendelea..hahahaHivi wazee mnajua ile THC iliyo ndani ya mmea ni fat-soluble? Kwo ukichemsha mmea ndani ya kitu kama maziwa ile THC inajaa huko afu unakunywa hiyo chai...
Babaa, utakuwa high siku 3 na kuendelea..
Hii ni kwa ambao hatuvuti anymore ila bado tunapenda ile ecstacy ya marijuana.
Legalize it!
wapo vizuri sanaUruguay ndio nchi pekee iliyo legalize Bangi unaweza panda hata kwako km MauaView attachment 868646
Piteni kushotoWavuta kheri tukae hapa pia?
kitu cha kaburu hicho mzee baba,straight outa zulu land.Hii sio Tanzania magic, strain ya wapi hii mkuu?
wastaarabu tunatumia jioni baada ya kazi,na ukishashtua unatulia kwanza unaskilizia stimu then maji ya kunywa ya kutosha na malumbuzi/mapokopoko,sio unavuta alafu unaanza safari kwenye jua kali.Kuvuta bange asubuhi nuksi.Mimi bangi ilishaga nishinda,siku moja nlitoka hom saa 4 asubuhi,nkapita maskani nikaanza kuvuta,mida ya saa 5 na nusu asubuhi nikarejea hom,nlipofika tu,eti nikaanza kusalimia nyumba nzima
Mmoja baada ya mwingine tena kwa kuwapa na mkono[emoji3]
Broo akanishtukia sipo sawa,akanisukutua kibao cha maana usoni,***** hapo ndo akili ikarudi,tokea siku hio nikaiharamisha bangi[emoji13]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Piteni kushoto