Wawekezaji Toka China

Apana aisee huyu atakuwa shushushu wa China
 
na wakati inauzwa alikuwepo ila alikaa kimya akijua atabagein. atoke kimaisha kwa bahati mbaya kapuliziwa mbali amebaki na maneno km wewe
Ungekuwa ndugu yangu ningebadilishana na gunia la ufuta
 
mwekezaji ni mwekezaji tu
Tena huyo hana madhara hao wakubwa ndiyo wenye kufanya ufisadi afrika ,sasa mtu kama huyo hata kidini kafanya kosa gani kufanya kazi za kimasikini ni kosa ,hapo ndiyo utagundua aliye nacho uzidishiwa na asiye nacho hata kidogo alicho nacho atapokonywa ,kumsimanga huyo mchina wakati watz wamejaa nchi zao maelfu wakifanya kazi za ovyo kama hizo ni kumpokonya masikini kile kidogo alicho nacho
 
Tena masikini hana shida yoyote tatizo ni hao hao wawekezaji wakubwa kama wa bandari ya bagamojo
 
Hao unaowalalamikia ni kama hawajali na kwa vile kuna kautamaduni ka kila mtu kumind his/her own business mambo kama haya yataendelea kujitokeza na kukomaa. Hebu wewe Mbongo nenda kafanye haya kwa nchi za wenzetu !!!
Mbona ndiyo kazi za waafrika wakia ulaya huko kuzoa mavii ya mbwa na kuwatawaza mbwa kuzibua vyoo, kufua vyupi nk
 
Ndugu yanayoendelea Tz ni.makusudi tu wachache wawe mabilionea wengine tufe njaa ila Mungu yupo
 
Hakika mkuu, kuna watu awajajua tu yani ulichosema ndivyo kilivyo.
 
Illegal immigrants Weusi wapo wengi sana Bongo, sema Wachina cannot blend in. It's ok Mjamaica kuuza mishkaki lakini Mchina kuuza madafu it's a problem.
 
oya, uyo dada atoe iyo 500 na papuchi juu, aache uphala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…