Wawekezaji wanapopewa leseni ya udalali: Be-Forward sasa yavamia soko la nyumba

Wawekezaji wanapopewa leseni ya udalali: Be-Forward sasa yavamia soko la nyumba

Acha wafanye hizi kazi kitaalamu.

Mambo ya madalali wa Tanzania kutuambia gari imenyooka, gari kali, nyumba imesimama na maneno ya kiswahili swahili uishe.
Umenichekesha, na anakwambia gari imenyooka kumbe hata hajaiona. madalali wa tz kweli shida. Anakwambia nyumba iko hivi na vile kumbe hata haijui na wala hajui ilipo anakupeleka mkifika mtaa anaanza kumpgia mwenzake anauliza ilipo mara mbona mwenye funguo hayupo
 
Mbogo anatembelea jina tayari na atakuwa among top leader pale alafu hiyo inawaletea hela ya mboga
 
Back
Top Bottom