Wawekezaji wasaidiwe kutatua kero kwa urahisi

Wawekezaji wasaidiwe kutatua kero kwa urahisi

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Nimesikia muwekezaji mmoja Mkubwa tu ( Vasso Agroventures) kwenye media akilalamikia kutozwa kodi kubwa na zisizo eleweka pamoja na kuingiliwa miradi yake ya uwekezaj na mwaka 2021 amepata hasara ya shs Bilioni 8 huku akiwa ame ajiri wafanyakazi zaidi ya 1000.
Wahusika TRA na Kituo cha uwekezaji wamejitokeza kusema eti aandike barua na kwenda nayo huko ofisini kwao ili wajadiliane na kuona namna ya kumsaidia;
Kwa mwekezaji MZUNGU na kwa changamoto zetu za ndani za ajabu ajabu tunazijua wenyewe naona huo ushauri sio rafiki kabisa kwani nafikiri wangemtembelea kwenye miradi yake kujua changamoto zake na kumuelekeza namna nzuri ya kuwakilisha ili kupata msaada? au hawaruhusiwi kwenda field?
Jamani; Ajira zaidi ya 1000 kwa kipindi hiki ni za kulinda; watu wanateseka sana mitaani bila kazi; na tukumbuke analipa kodi kubwa tu indirect kupitia hiyo mishahara
 
Mtanzania akiajiriwa serikalini akapata na cheo huwa anakuwa mtu mshenzi sana. Ndyo maana secto binafsi huwa zinakuwa sana kuliko government sectors kwasababu private sectors wanapeleka huduma kwa mtu moja kwa moja pale inapohitajika lakini serikalini unaambiwa njoo ofisini mara andika barua sijui jaza fomu, subiri tutakupigia[emoji119][emoji119] Nonsense
 
Mtanzania akiajiriwa serikalini akapata na cheo huwa anakuwa mtu mshenzi sana. Ndyo maana secto binafsi huwa zinakuwa sana kuliko government sectors kwasababu private sectors wanapeleka huduma kwa mtu moja kwa moja pale inapohitajika lakini serikalini unaambiwa njoo ofisini mara andika barua sijui jaza fomu, subiri tutakupigia[emoji119][emoji119] Nonsense
seems legit though
 
Hao maofisa wapumbavu sana, badala ya ku-rush kutatua keep za mwekezaji wao wanasema aende ofisini kwao wakajadili??????

Waziri bado amemuacha Meneja wa mkoa wa TIC na TRA???? Yani wanafanya nini ofisini mpaka sasa?
 
Shida ni nini
Mwenye uelewa na tatizo la hapo vasso akuje atueleze walau tujue pa kuanzia
 
Back
Top Bottom