Wawili akiwemo mchungaji washikiliwa na polisi kwa kulaghai mchawi kadondoka na ungo kanisani kwenye mkesha

Wawili akiwemo mchungaji washikiliwa na polisi kwa kulaghai mchawi kadondoka na ungo kanisani kwenye mkesha

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashilika watu wawili akiwemo Emanuel Paul Karata (35) mchungaji wa kanisa la PENTEKOSTE GOSPEL MISSION lililopo Kibaha kwa ulaghai wa kutaka kupata waumini kwa kusingizia mchawi amedondoka kwenye maombi ya mkesha wake na waumini.

Wamewashikilia kwa mahojiano kutokana na taarifa za mtu mmoja jinsia ya kiume Basenga Silvester Matheo (59) kudondoka kanisani akiwa anasafiri kwa ungo wa kichawi au kishirikina.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha mkoani Pwani, Kamanda wa Polisi ACP Pius Lutumo amesema, tarehe 24 mwezi huu majira ya saa 09:00hrs huko katika kituo cha polisi Kibaha Mkoa wa Pwani alitoa taarifa za mtu mmoja ambaye alifahamika kwa jina la Basenga Silvester Matheo (59) mkazi wa Miswe wilaya ya Kibaha akiwa amesafiri kwa ungo wa kishirikina na kudondoka kanisani hapo na kuleta taharuki kubwa kwa waumini.

Katika uchunguzi, jeshi la polisi lilibaini kuwa tukio hilo ni tukio la kutengeneza kwa lengo la kuwalaghai au kuwahadaa waumini na wananchi kwa ujumla kwa lengo la kupata waumini zaidi na kujipatia kipato.

"Ilielezwa kwamba siku ya tukio kulikuwa na ibada ya mkesha ambapo mtuhumiwa akiwa na wenzake sita alidondoshwa kwa sala za maombi ya waumini na mchungaji wao na wenzake wakafanikiwa kutoroka kichawi".

"ili kudhibiti taharuki hiyo mchungaji alimchukua mtu huyo na vifaa vyake vya kishirikina na kumuweka ofisini kwake hadi asubuhi polisi walipofika na kumchukua."

Bwana BUSENGAS/OSILVESTER MATHEO alijinisibu kuwa yeye na wenzake walifika kanisani hapo kishirikina kwa lengo la kupima imani ya waumini hao kwa Mwenyezi Mungu.

Aidha mtuhumiwa aliahidiwa kulipwa Shilingi 50,000/= baada ya kutimiza lengo lao la kilaghai.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linatoa onyo na tahadhari kwa watu wenye tamaa ya kupata kipato cha haraka kwa kufanya ulaghai kuacha mara moja.

Aidha linatoa wito kwa waumini kuwa makini na watu wachache wanaotaka kuharibu imani za kidini kwa tamaa ya kipato.
Jeshi la polisi liache double standard. Akina Mwamposa kila siku wanawalaghai wafuasi wao kwa kujifanya wanaponesha magonjwa mbalimbali, lakini hawachukuliwi hatua.
 
Jeshi la polisi liache double standard. Akina Mwamposa kila siku wanawalaghai wafuasi wao kwa kujifanya wanaponesha magonjwa mbalimbali, lakini hawachukuliwi hatua.
Wala tusilaumu Jeshi la Polisi. Sisi wagalatia tumekuwa watu wa hovyo sana. Tunafanya mambo ya ajabu na ya kuchefua. Tunajiaibisha na kuiaibisha dini yetu na imani yetu ya kweli ya ukristo.

Sisi tunayoijua kweli tumekuwa vituko kwa wasioijua kweli.

Yesu atakosa uvumilivi na huruma na upendo wake kwetu kutoweka na kushuka kutugawia mkong'oto wa haja.
 
Mnaopenda watu waamini mambo ya kichawi. Ni wapigaji ambapo mnafaidika na hela za watu wanaoamini ushirikina. Huku uhalisia mnajua kwamba hizo ni hadithi za kufikirika.
Weka akiba ya maneno chief........
 
Jeshi la polisi liache double standard. Akina Mwamposa kila siku wanawalaghai wafuasi wao kwa kujifanya wanaponesha magonjwa mbalimbali, lakini hawachukuliwi hatua.
Mwamposa hajawahi sema yeye anaponya wagonjwa, anasema Yesu kupitia yeye ndo anaponya, na wanaopona anawauliza nani kawaponya wanajibu Yesu.
Sasa jeshi la polisi litambishiaje aliyepona hadi limtie hatiani Mwamposa?
 
Dini zote zinafanya ulaghai kwa miaka mingi ila hazikamatwi.

Ukweli mchungu Mungu aliyeandikwa kwenye vitabu vya dini zote hayupo. Mungu yupo kwenye mind zetu binadamu

Na hata Uchawi haupo duniani. Ni hadithi za kufikirika👍
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashilika watu wawili akiwemo Emanuel Paul Karata (35) mchungaji wa kanisa la PENTEKOSTE GOSPEL MISSION lililopo Kibaha kwa ulaghai wa kutaka kupata waumini kwa kusingizia mchawi amedondoka kwenye maombi ya mkesha wake na waumini.

Wamewashikilia kwa mahojiano kutokana na taarifa za mtu mmoja jinsia ya kiume Basenga Silvester Matheo (59) kudondoka kanisani akiwa anasafiri kwa ungo wa kichawi au kishirikina.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha mkoani Pwani, Kamanda wa Polisi ACP Pius Lutumo amesema, tarehe 24 mwezi huu majira ya saa 09:00hrs huko katika kituo cha polisi Kibaha Mkoa wa Pwani alitoa taarifa za mtu mmoja ambaye alifahamika kwa jina la Basenga Silvester Matheo (59) mkazi wa Miswe wilaya ya Kibaha akiwa amesafiri kwa ungo wa kishirikina na kudondoka kanisani hapo na kuleta taharuki kubwa kwa waumini.

Katika uchunguzi, jeshi la polisi lilibaini kuwa tukio hilo ni tukio la kutengeneza kwa lengo la kuwalaghai au kuwahadaa waumini na wananchi kwa ujumla kwa lengo la kupata waumini zaidi na kujipatia kipato.

"Ilielezwa kwamba siku ya tukio kulikuwa na ibada ya mkesha ambapo mtuhumiwa akiwa na wenzake sita alidondoshwa kwa sala za maombi ya waumini na mchungaji wao na wenzake wakafanikiwa kutoroka kichawi".

"ili kudhibiti taharuki hiyo mchungaji alimchukua mtu huyo na vifaa vyake vya kishirikina na kumuweka ofisini kwake hadi asubuhi polisi walipofika na kumchukua."

Bwana BUSENGAS/OSILVESTER MATHEO alijinisibu kuwa yeye na wenzake walifika kanisani hapo kishirikina kwa lengo la kupima imani ya waumini hao kwa Mwenyezi Mungu.

Aidha mtuhumiwa aliahidiwa kulipwa Shilingi 50,000/= baada ya kutimiza lengo lao la kilaghai.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linatoa onyo na tahadhari kwa watu wenye tamaa ya kupata kipato cha haraka kwa kufanya ulaghai kuacha mara moja.

Aidha linatoa wito kwa waumini kuwa makini na watu wachache wanaotaka kuharibu imani za kidini kwa tamaa ya kipato.
du!!!!!!!,,,,,,,,,,,mambo ya shakahoza yameanza
 
Amebaki mwamposa na viwete wake feki kwenye mihadhara[emoji4]
Halafu viwete wote wa Songea walikuwa na magongo mapya, na yanayofanana!! Tena magongo zaidi ya 100!! Huku si kudanganya watu kweli!!!
 
Hakuna mchawi mkweli, agent wa shetani awe mkweli? Na watu wa Mungu na maajenti wa Mungu wawe sawa na wachawi kwa sababu Mungu ni mkweli na shetani hajawahi kuwa mkweli.
Safi sana Kadhi mkuu. Ukiamuaga kutema madini na kushusha nondo za hatariiii yani
 
Hakuna kanisa lisilokuwa na uongo na wizi.

.wajinga ndiyo waliwao.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashilika watu wawili akiwemo Emanuel Paul Karata (35) mchungaji wa kanisa la PENTEKOSTE GOSPEL MISSION lililopo Kibaha kwa ulaghai wa kutaka kupata waumini kwa kusingizia mchawi amedondoka kwenye maombi ya mkesha wake na waumini.

Wamewashikilia kwa mahojiano kutokana na taarifa za mtu mmoja jinsia ya kiume Basenga Silvester Matheo (59) kudondoka kanisani akiwa anasafiri kwa ungo wa kichawi au kishirikina.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha mkoani Pwani, Kamanda wa Polisi ACP Pius Lutumo amesema, tarehe 24 mwezi huu majira ya saa 09:00hrs huko katika kituo cha polisi Kibaha Mkoa wa Pwani alitoa taarifa za mtu mmoja ambaye alifahamika kwa jina la Basenga Silvester Matheo (59) mkazi wa Miswe wilaya ya Kibaha akiwa amesafiri kwa ungo wa kishirikina na kudondoka kanisani hapo na kuleta taharuki kubwa kwa waumini.

Katika uchunguzi, jeshi la polisi lilibaini kuwa tukio hilo ni tukio la kutengeneza kwa lengo la kuwalaghai au kuwahadaa waumini na wananchi kwa ujumla kwa lengo la kupata waumini zaidi na kujipatia kipato.

"Ilielezwa kwamba siku ya tukio kulikuwa na ibada ya mkesha ambapo mtuhumiwa akiwa na wenzake sita alidondoshwa kwa sala za maombi ya waumini na mchungaji wao na wenzake wakafanikiwa kutoroka kichawi".

"ili kudhibiti taharuki hiyo mchungaji alimchukua mtu huyo na vifaa vyake vya kishirikina na kumuweka ofisini kwake hadi asubuhi polisi walipofika na kumchukua."

Bwana BUSENGAS/OSILVESTER MATHEO alijinisibu kuwa yeye na wenzake walifika kanisani hapo kishirikina kwa lengo la kupima imani ya waumini hao kwa Mwenyezi Mungu.

Aidha mtuhumiwa aliahidiwa kulipwa Shilingi 50,000/= baada ya kutimiza lengo lao la kilaghai.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linatoa onyo na tahadhari kwa watu wenye tamaa ya kupata kipato cha haraka kwa kufanya ulaghai kuacha mara moja.

Aidha linatoa wito kwa waumini kuwa makini na watu wachache wanaotaka kuharibu imani za kidini kwa tamaa ya kipato.
Umasikini mbaya sana.

Yani jamaa amekubali kujidhalilisha kwa kiasi Cha Tsh elfu 50 tu wakati mchungaji angevuna mamilioni na mamilioni kutoka kwa waumini.
 
Taarifa ya alieanguka inamkanganyiko,anasema "yeye na wenzake walienda kanisani hapo kichawi kupima imani ya waumini wa kanisa," baada ya hapo kuna maelezo yanasema walipewa 50, which is which.

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashilika watu wawili akiwemo Emanuel Paul Karata (35) mchungaji wa kanisa la PENTEKOSTE GOSPEL MISSION lililopo Kibaha kwa ulaghai wa kutaka kupata waumini kwa kusingizia mchawi amedondoka kwenye maombi ya mkesha wake na waumini.

Wamewashikilia kwa mahojiano kutokana na taarifa za mtu mmoja jinsia ya kiume Basenga Silvester Matheo (59) kudondoka kanisani akiwa anasafiri kwa ungo wa kichawi au kishirikina.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha mkoani Pwani, Kamanda wa Polisi ACP Pius Lutumo amesema, tarehe 24 mwezi huu majira ya saa 09:00hrs huko katika kituo cha polisi Kibaha Mkoa wa Pwani alitoa taarifa za mtu mmoja ambaye alifahamika kwa jina la Basenga Silvester Matheo (59) mkazi wa Miswe wilaya ya Kibaha akiwa amesafiri kwa ungo wa kishirikina na kudondoka kanisani hapo na kuleta taharuki kubwa kwa waumini.

Katika uchunguzi, jeshi la polisi lilibaini kuwa tukio hilo ni tukio la kutengeneza kwa lengo la kuwalaghai au kuwahadaa waumini na wananchi kwa ujumla kwa lengo la kupata waumini zaidi na kujipatia kipato.

"Ilielezwa kwamba siku ya tukio kulikuwa na ibada ya mkesha ambapo mtuhumiwa akiwa na wenzake sita alidondoshwa kwa sala za maombi ya waumini na mchungaji wao na wenzake wakafanikiwa kutoroka kichawi".

"ili kudhibiti taharuki hiyo mchungaji alimchukua mtu huyo na vifaa vyake vya kishirikina na kumuweka ofisini kwake hadi asubuhi polisi walipofika na kumchukua."

Bwana BUSENGAS/OSILVESTER MATHEO alijinisibu kuwa yeye na wenzake walifika kanisani hapo kishirikina kwa lengo la kupima imani ya waumini hao kwa Mwenyezi Mungu.

Aidha mtuhumiwa aliahidiwa kulipwa Shilingi 50,000/= baada ya kutimiza lengo lao la kilaghai.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linatoa onyo na tahadhari kwa watu wenye tamaa ya kupata kipato cha haraka kwa kufanya ulaghai kuacha mara moja.

Aidha linatoa wito kwa waumini kuwa makini na watu wachache wanaotaka kuharibu imani za kidini kwa tamaa ya kipato.
Mwamposa anayafanya sana haya
 
Police hawa wana double standard, kwa nini hawamkamati Mwamposa na mchanga wake wa kutoka "Israël "Ili hali mchanga anauchota hapa hapa Kawe.
Mafuta ya upako yenyewe yanatoka nchi gani? maana nilikuwa na mpango wa kwenda kukanyaga.
 
Back
Top Bottom