Wawili akiwemo mchungaji washikiliwa na polisi kwa kulaghai mchawi kadondoka na ungo kanisani kwenye mkesha

Wawili akiwemo mchungaji washikiliwa na polisi kwa kulaghai mchawi kadondoka na ungo kanisani kwenye mkesha

Utapeli ni nini ? Na tapeli hapa ni nani kamtapeli nani ?

Lengo la mpango huu polisi inasema ni kujipatia waumuni. Sio pesa, waumini!

Sasa utapeli gani hauhusisi kunufaika kwa hela ? Utapeli hapa unau prove vipi wakati hakuna aliyenufaika na hela zaidi ya mchawi? Unless usema mchawi kamtapeli mhubiri.

Na pia inakubidi usema kuwa na waumini maana yake kujipatia fedha. Which is an indictment of the whole church institution, yani Polisi itakuwa imehukumu dhana nzima na shughuli zote za kidini na kiimani kwamba waendesha ibada ni wasaka tonge.
Sahihi, kama ndivyo basi wote wafikishwe kwa pilato.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashilika watu wawili akiwemo Emanuel Paul Karata (35) mchungaji wa kanisa la PENTEKOSTE GOSPEL MISSION lililopo Kibaha kwa ulaghai wa kutaka kupata waumini kwa kusingizia mchawi amedondoka kwenye maombi ya mkesha wake na waumini.

Wamewashikilia kwa mahojiano kutokana na taarifa za mtu mmoja jinsia ya kiume Basenga Silvester Matheo (59) kudondoka kanisani akiwa anasafiri kwa ungo wa kichawi au kishirikina.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha mkoani Pwani, Kamanda wa Polisi ACP Pius Lutumo amesema, tarehe 24 mwezi huu majira ya saa 09:00hrs huko katika kituo cha polisi Kibaha Mkoa wa Pwani alitoa taarifa za mtu mmoja ambaye alifahamika kwa jina la Basenga Silvester Matheo (59) mkazi wa Miswe wilaya ya Kibaha akiwa amesafiri kwa ungo wa kishirikina na kudondoka kanisani hapo na kuleta taharuki kubwa kwa waumini.

Katika uchunguzi, jeshi la polisi lilibaini kuwa tukio hilo ni tukio la kutengeneza kwa lengo la kuwalaghai au kuwahadaa waumini na wananchi kwa ujumla kwa lengo la kupata waumini zaidi na kujipatia kipato.

"Ilielezwa kwamba siku ya tukio kulikuwa na ibada ya mkesha ambapo mtuhumiwa akiwa na wenzake sita alidondoshwa kwa sala za maombi ya waumini na mchungaji wao na wenzake wakafanikiwa kutoroka kichawi".

"ili kudhibiti taharuki hiyo mchungaji alimchukua mtu huyo na vifaa vyake vya kishirikina na kumuweka ofisini kwake hadi asubuhi polisi walipofika na kumchukua."

Bwana BUSENGAS/OSILVESTER MATHEO alijinisibu kuwa yeye na wenzake walifika kanisani hapo kishirikina kwa lengo la kupima imani ya waumini hao kwa Mwenyezi Mungu.

Aidha mtuhumiwa aliahidiwa kulipwa Shilingi 50,000/= baada ya kutimiza lengo lao la kilaghai.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linatoa onyo na tahadhari kwa watu wenye tamaa ya kupata kipato cha haraka kwa kufanya ulaghai kuacha mara moja.

Aidha linatoa wito kwa waumini kuwa makini na watu wachache wanaotaka kuharibu imani za kidini kwa tamaa ya kipato.
Kama ilikuwa ni misheni ya kupangwa, kwa nini huyo mchawi feki asiende kuyeyukia kwenye ofisi ya mchungaji, mpaka kukacha na Polisi wakamdakua?

Nadhan mchungaji alijiamini kupita kiasi na kuona kila mtu ni zoba.

Sasa hilo kanisa lake kalivunja mwenyewe kwa upumbafu wake.

Hakuna mjinga atayeenda kuassemble tena kanisani kwa huyo tapeli.

Lakini kwa kuwa dunia haiishi misukule, wapo atakaoendelea kuwaokota kwa uongo wake.
 
Hebu tueleweshe, Kwani kuwa mchawi Tz ni kosa kisheria? Kuwa tapeli ni jinai. Kwahiyo hapa sheria inatamlamba mchungaji na sio mchawi.

Come again…….

Mchawi anahatia ya kufanya deal ya kitapeli na ulaghai. Kujifanya mchawi.

Au unataka kujua nzi hua wanaenda wapi usiku?
 
Mchawi anahatia ya kufanya deal ya kitapeli na ulaghai. Kujifanya mchawi.

Au unataka kujua nzi hua wanaenda wapi usiku?
Nimecheka sana! Been busyyyyyyy! 🙄

Kwahiyo kosa ni kujifanya mchawi, angekuwa mchawi kweli fresh tu??

Mbavu zinauma!
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashilika watu wawili akiwemo Emanuel Paul Karata (35) mchungaji wa kanisa la PENTEKOSTE GOSPEL MISSION lililopo Kibaha kwa ulaghai wa kutaka kupata waumini kwa kusingizia mchawi amedondoka kwenye maombi ya mkesha wake na waumini.

Wamewashikilia kwa mahojiano kutokana na taarifa za mtu mmoja jinsia ya kiume Basenga Silvester Matheo (59) kudondoka kanisani akiwa anasafiri kwa ungo wa kichawi au kishirikina.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha mkoani Pwani, Kamanda wa Polisi ACP Pius Lutumo amesema, tarehe 24 mwezi huu majira ya saa 09:00hrs huko katika kituo cha polisi Kibaha Mkoa wa Pwani alitoa taarifa za mtu mmoja ambaye alifahamika kwa jina la Basenga Silvester Matheo (59) mkazi wa Miswe wilaya ya Kibaha akiwa amesafiri kwa ungo wa kishirikina na kudondoka kanisani hapo na kuleta taharuki kubwa kwa waumini.

Katika uchunguzi, jeshi la polisi lilibaini kuwa tukio hilo ni tukio la kutengeneza kwa lengo la kuwalaghai au kuwahadaa waumini na wananchi kwa ujumla kwa lengo la kupata waumini zaidi na kujipatia kipato.

"Ilielezwa kwamba siku ya tukio kulikuwa na ibada ya mkesha ambapo mtuhumiwa akiwa na wenzake sita alidondoshwa kwa sala za maombi ya waumini na mchungaji wao na wenzake wakafanikiwa kutoroka kichawi".

"ili kudhibiti taharuki hiyo mchungaji alimchukua mtu huyo na vifaa vyake vya kishirikina na kumuweka ofisini kwake hadi asubuhi polisi walipofika na kumchukua."

Bwana BUSENGAS/OSILVESTER MATHEO alijinisibu kuwa yeye na wenzake walifika kanisani hapo kishirikina kwa lengo la kupima imani ya waumini hao kwa Mwenyezi Mungu.

Aidha mtuhumiwa aliahidiwa kulipwa Shilingi 50,000/= baada ya kutimiza lengo lao la kilaghai.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linatoa onyo na tahadhari kwa watu wenye tamaa ya kupata kipato cha haraka kwa kufanya ulaghai kuacha mara moja.

Aidha linatoa wito kwa waumini kuwa makini na watu wachache wanaotaka kuharibu imani za kidini kwa tamaa ya kipato.
Wachungaji wahuni wanatomba wake na watoto wenu sana kanisani [emoji23][emoji23]
IMG_20230910_081933.jpg
 
Back
Top Bottom