Wawili mbaroni Kwa kupanga njama za kumroga Rais.

Wawili mbaroni Kwa kupanga njama za kumroga Rais.

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Polisi inawashikilia watu wawili Kwa kupanga njama za kumdhuru Rais wa Zambia, Haikande Hichilema Kwa njia za ushirikina.

Watuhumiwa hao ni Jasten Mabulesse Candunde na Leonard Phiri wanaodaiwa kutumwa na Nelson Banda,mdogo wa mbunge anayekabiliwa na tuhuma za wizi Jay Jay Banda kumroga kiongozi huyo.

Polisi wanadai kuwa na ushahidi kwamba wawili hao wanakabiliwa na kula njama za kufanya uchawi, kumiliki hirizi na ukatili wa wanyama baada ya kukutwa na na hirizi za aina mbalimbali akiwemo kinyonga hai.

Polisi wamedai watuhumiwa walikiri kula njama hizo na walikuwa wamekubaliana walipwe kiasi Cha Dola 7,400 za marekani baada ya kufanikiwa zoezi Hilo.

Source : Dar 24, online news.

Karibuni Kwa maoni🤔
 
Polisi inawashikilia watu wawili Kwa kupanga njama za kumdhuru Rais wa Zambia, Haikande Hichilema Kwa njia za ushirikina.

Watuhumiwa hao ni Jasten Mabulesse Candunde na Leonard Phiri wanaodaiwa kutumwa na Nelson Banda,mdogo wa mbunge anayekabiliwa na tuhuma za wizi Jay Jay Banda kumroga kiongozi huyo.

Polisi wanadai kuwa na ushahidi kwamba wawili hao wanakabiliwa na kula njama za kufanya uchawi, kumiliki hirizi na ukatili wa wanyama baada ya kukutwa na na hirizi za aina mbalimbali akiwemo kinyonga hai.

Polisi wamedai watuhumiwa walikiri kula njama hizo na walikuwa wamekubaliana walipwe kiasi Cha Dola 7,400 za marekani baada ya kufanikiwa zoezi Hilo.

Source : Dar 24, online news.

Karibuni Kwa maoni🤔
Waje Tanganyika watusaidie kuuloga Muungano na CCM
 
Mshana nenda kachome hizo hirizi ulizokuwa unamiliki,

Hilo ni kosa linaloweza kukutia mikononi mwa polisi ukawa kizuizini,

RC kijana alishatoa Dokezo,

Shauri Yako.
Shauri Yako.. Shauri yangu...🤣
 
Polisi inawashikilia watu wawili Kwa kupanga njama za kumdhuru Rais wa Zambia, Haikande Hichilema Kwa njia za ushirikina.

Watuhumiwa hao ni Jasten Mabulesse Candunde na Leonard Phiri wanaodaiwa kutumwa na Nelson Banda,mdogo wa mbunge anayekabiliwa na tuhuma za wizi Jay Jay Banda kumroga kiongozi huyo.

Polisi wanadai kuwa na ushahidi kwamba wawili hao wanakabiliwa na kula njama za kufanya uchawi, kumiliki hirizi na ukatili wa wanyama baada ya kukutwa na na hirizi za aina mbalimbali akiwemo kinyonga hai.

Polisi wamedai watuhumiwa walikiri kula njama hizo na walikuwa wamekubaliana walipwe kiasi Cha Dola 7,400 za marekani baada ya kufanikiwa zoezi Hilo.

Source : Dar 24, online news.

Karibuni Kwa maoni🤔
Hizi nchi nyingine ni MAAAJABUUUU😅😆
 
Na wanaweza kupandishwa cheo kwa kazi mzuri ya kumuokoa rais😭
Sisi ni majinga VIP class
 
Kwani wenzetu hapo Zambia, Katiba yao inatambua Uchawi?

Huku kwetu Serikali haitambui uchawi, ila kule Bungeni wakati Fulani Spika wa Bunge alikikacha kiti chake Kwa kuhisi kumwagiwa ndumba
 
Kwani wenzetu hapo Zambia, Katiba yao inatambua Uchawi?

Huku kwetu Serikali haitambui uchawi, ila kule Bungeni wakati Fulani Spika wa Bunge alikikacha kiti chake Kwa kuhisi kumwagiwa ndumba
Sasa polisi wamenasa njama na malipo ya Dola 7400 yangefanyika ikiwa wangefanikiwa kumroga mkuu wa Nchi,

Sasa ulitaka polisi wanyamaze na taarifa hizo hata kama Katiba haitambui uchawi?
 
Bongo washajaribu muhula ulopita wakakuta mkuu wa nchi amezindikwaaa
 
Sasa polisi wamenasa njama na malipo ya Dola 7400 yangefanyika ikiwa wangefanikiwa kumroga mkuu wa Nchi,

Sasa ulitaka polisi wanyamaze na taarifa hizo hata kama Katiba haitambui uchawi?
Kama Katiba yao haitambui Uchawi, Mbona hiyo kesi ni rahisi kushinda

Na hakuna pesa utatumiwa kufanya mambo meusi ukalipwa kupitia Benki ama nini

Hizo unapewa cash kukamilisha kazi
 
Kama Katiba yao haitambui Uchawi, Mbona hiyo kesi ni rahisi kushinda

Na hakuna pesa utatumiwa kufanya mambo meusi ukalipwa kupitia Benki ama nini

Hizo unapewa cash kukamilisha kazi
Hivi polisi kumbe ni ndugu haijalishi Nchi watokazo,

Maana Wana vituko hao🤣
 
Hivi polisi kumbe ni ndugu haijalishi Nchi watokazo,

Maana Wana vituko hao🤣
Wanafanana hasa huku Afrika, wale wa Marekani na Nchi za Dunia ya kwanza hawako kama wetu

Polisi wa huku wanapewa maagizo hadi na Katibu wa UVCCM na anayatii 🙌
 
Back
Top Bottom