Kwamba mkamate Mbowe, amepanga kupindua Nchi Kwa kutumia kiasi Cha shilingi lakini SITA,Wanafanana hasa huku Afrika, wale wa Marekani na Nchi za Dunia ya kwanza hawako kama wetu
Polisi wa huku wanapewa maagizo hadi na Katibu wa UVCCM na anayatii 🙌
Ndiyo muone aina ya Jeshi tulilonalo kama NchiKwamba mkamate Mbowe, amepanga kupindua Nchi Kwa kutumia kiasi Cha shilingi lakini SITA,
Pia alipanga kukata magogo pekeake na kuyatandaza Nchi nzima Barbarani Ili kupindua meza🤣
Nadhani tatizo liko Kwa polisi !Hichilema naye ameshakuwa hamnazo, alipoingia wengine tukaweka imani kwake kumbe hamna lolote.
Unaweka imani kwa mwanasiasa hasa wa kiafrika? UnafikirishaHichilema naye ameshakuwa hamnazo, alipoingia wengine tukaweka imani kwake kumbe hamna lolote.
Mpaka uchawi wa kiafrika unatathminiwa kwa kutumia dola za kimarekani siku hizi? Siyo kuku wa rangi fulani wala mbuzi au kondoo? Kwenye hii ni karne ya utandawazi. Mshana Jr tunaomba mwongozo!Polisi inawashikilia watu wawili Kwa kupanga njama za kumdhuru Rais wa Zambia, Haikande Hichilema Kwa njia za ushirikina.
Watuhumiwa hao ni Jasten Mabulesse Candunde na Leonard Phiri wanaodaiwa kutumwa na Nelson Banda,mdogo wa mbunge anayekabiliwa na tuhuma za wizi Jay Jay Banda kumroga kiongozi huyo.
Polisi wanadai kuwa na ushahidi kwamba wawili hao wanakabiliwa na kula njama za kufanya uchawi, kumiliki hirizi na ukatili wa wanyama baada ya kukutwa na na hirizi za aina mbalimbali akiwemo kinyonga hai.
Polisi wamedai watuhumiwa walikiri kula njama hizo na walikuwa wamekubaliana walipwe kiasi Cha Dola 7,400 za marekani baada ya kufanikiwa zoezi Hilo.
Source : Dar 24, online news.
Karibuni Kwa maoni🤔
Nimecheka hadi nimejamba, waje kwa kweli, kuna libarabara la Ntyuka Dodoma yaan lipolipo linajengwa mwaka wa kumi sasa na mbunge wake ananenepa tuuu. Nachukia sanaa viongizi wasiowatumikia wananchi wanaowapa maisha, msiwachague hiyo ndio hirizi yenyeweWaje Tanganyika watusaidie kuuloga Muungano na CCM
Kwa iyo serikali yao inaamini uchawi😆Polisi inawashikilia watu wawili Kwa kupanga njama za kumdhuru Rais wa Zambia, Haikande Hichilema Kwa njia za ushirikina.
Watuhumiwa hao ni Jasten Mabulesse Candunde na Leonard Phiri wanaodaiwa kutumwa na Nelson Banda,mdogo wa mbunge anayekabiliwa na tuhuma za wizi Jay Jay Banda kumroga kiongozi huyo.
Polisi wanadai kuwa na ushahidi kwamba wawili hao wanakabiliwa na kula njama za kufanya uchawi, kumiliki hirizi na ukatili wa wanyama baada ya kukutwa na na hirizi za aina mbalimbali akiwemo kinyonga hai.
Polisi wamedai watuhumiwa walikiri kula njama hizo na walikuwa wamekubaliana walipwe kiasi Cha Dola 7,400 za marekani baada ya kufanikiwa zoezi Hilo.
Source : Dar 24, online news.
Karibuni Kwa maoni🤔